Usisaidie masikini, acha wafe

Basi endelea kukaa hapo kwa shem wako Samia atakujaza mipesa tele
Na ndo inatakiwa hivyo hata kulingana na mujibu wa katiba ni haki yangu kukaa kwa dada yangu na ni haki yangu Samia kunijaza mipesa
 
Mungu hupitisha msaada kupitia kwa watu.
Unapomhurumia masikini unamkopesha Mungu,yeye anawategemeza hao watu..
Iko hivyo mkuu.

Wala hatubishani bali tunatoa mawazo,au uzi wako hauruhusu kupokea mawazo tofauti na uliyoandika wewe?
 
Mungu hupitisha msaada kupitia kwa watu.
Unapomhurumia masikini unamkopesha Mungu,yeye anawategemeza hao watu..
Iko hivyo mkuu.

Wala hatubishani bali tunatoa mawazo,au uzi wako hauruhusu kupokea mawazo tofauti na uliyoandika wewe?


Nipo tayari Mkuu na ndio maana nimeuweka hapa.

Ila hiki nilichoandika ni kitu kikubwa ambacho kukitambua yakupasa utumie zaidi akili kuliko hisia.

Huwezi msaidia masikini ukabaki salama.
Labda umsaidie ili nawe ujipatie faida kutoka kwake
 
Vp kuhusu uongozi wakipewa mamlaka??
 
Una maana kwa kuwa Mungu ndie kawaumba hao masikini basi ni yeye anajua watakula nini. Tazama ndege wa angani wanakula na kushiba na hawana shamba.
 
Maandiko ya vitabu yanatwambiaje? kumsaidia Maskini au tumuache afe kwa njaa na kiu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…