Heading ingefaa tenda wema nenda zako usingoje shukrani.Anamaanisha watu wenye roho za kimaskini. Hamaanishi fukara.
Mfano. Kaini aliitazama ardhi, akailima, akavuna mazao, akaonekana tajiri kwa kuwa ana akiba. Lakini Roho ya kimaskini ikamtuma kuwa Mwenyezi Mungu ana shida sana, hivyo ampe mabaki. Ndivyo maskini wa rohoni walivyo. Akiona kuna ulazima wa kumpa mwingine, mioyo yao huwatuma kutoa mabaki au hata sumu.
Maskini wa roho, hawaamini katika mafanikio ya wengine, bali huwaza maangamizi ya wengine.
Nwndeni mkachunguze kwa makini. Kule ambako hakuna maendeleo yoyote, mkaangalie historia za viongozi waliowaongoza. Kiongozi mwenye umaskini wa roho, huielekeza jamii nzima kwenye shida na maangamizi.
Namuunga mkono mleta mada, lakini aongezee kuwa ni maskini wa roho, na siyo mafukara.
Hata wewe ipo siku.Mkuu nimesoma bandiko mara 10 ni kama umenipa fundisho.
Nimesaidia masikini wawili kwa muda tofauti.
1--Masikini wa Kwanza aliniomba nimkopeshe kiasi cha pesa 1,500,000 amekwama Jambo fulani.
Atarudisha baada ya week.
2-- Masikini mwingine akaniomba nimkopeshe 300,000 atanipa baada ya mwezi mmoja.
Hivi Ninavyoandika comment hii,,ni miezi 3 imeshapita.
Pesa bado sijarudishiwa ,,na tayari mimi na wale masikini tumeshakuwa maadui wakubwa.
Ni kweli usisaidie masikini Bora wafe.
Kwamba nimesema Sito kufa?
Kuna neno kufa hapo ????Kwamba nimesema Sito kufa?
Jifunze kuelewa comment .
Usipende kulala uchi geto la masela.
Ukisema hata wewe ipo siku inamaanasha nn?
Anamaanisha watu wenye roho za kimaskini. Hamaanishi fukara.
Mfano. Kaini aliitazama ardhi, akailima, akavuna mazao, akaonekana tajiri kwa kuwa ana akiba. Lakini Roho ya kimaskini ikamtuma kuwa Mwenyezi Mungu ana shida sana, hivyo ampe mabaki. Ndivyo maskini wa rohoni walivyo. Akiona kuna ulazima wa kumpa mwingine, mioyo yao huwatuma kutoa mabaki au hata sumu.
Maskini wa roho, hawaamini katika mafanikio ya wengine, bali huwaza maangamizi ya wengine.
Nwndeni mkachunguze kwa makini. Kule ambako hakuna maendeleo yoyote, mkaangalie historia za viongozi waliowaongoza. Kiongozi mwenye umaskini wa roho, huielekeza jamii nzima kwenye shida na maangamizi.
Namuunga mkono mleta mada, lakini aongezee kuwa ni maskini wa roho, na siyo mafukara.
Mkuu well said [emoji123]Wewe ndio umeongea kile ambacho kilikuwa kichwani mwangu kwa wepesi zaidi.
Mtu mwenye rich spirit hata kama hana anakuwa hana tatizo na mtu. Na akiwa nacho ndio kabisaa yani wote mtafurahi. Wako positive mda wote!
Ila wenye roho ya kimaskini ndio wanakuwaga na attitude ya kilimbukeni tu. Hawa ndio wale anawaza apate ili awakomeshe akina flani..Ata strive kupata recognition akipata nafasi na sio kwa nia ya kusaidia kuwainua walio karibu nae bali kuwa oppress ili awe ni mtu wa kutukuzwa, ili akusaidie ni lazma umsujudie na msaada unaambatana na matangazo.Husda na choyo ndio vimeijaza mioyo ya hawa watu.
So kwangu tafsiri ya umaskini ina stem kwenye roho ya mtu. Haijalishi una hela au hauna ila umaskini upo rohoni. Binafsi naweza kuwa sina kitu ila siji count kama maskini sababu najua i have a rich heart na nikiwa nacho im good at giving a hand to others sibaguagi watu.
Jana asubui nimpe elf 1000 bibi kizee ombaomba jioni nimepata elf 20 bila kutegemea. Nisingesaidia nisingepata.
Mimi ombaomba kijana Katu sisaidii.
Watu wanajitahidi kuondoa inequality wewe unaleta stereotype unazijua mwenyewe,unajua madhara ya kuwa na watu wachache wenye utajiri na nguvu kwenye humanity?
Na chakushangaza anaeongea hapa ni mwafrika mweusi from sub-saharan countries ambapo umasikini umetawala. Umesahau kwamba hata wewe ni masikin unless labda uwe mjukuu wa qeen Elizabeth and other previlege family, unaletewa chanjo ,elimu, wangeamua kuwapa matajiri tu hata wewe usingesurvive, usiseme tuwachukie masikini sema tutafute njia ya kunyanyua kutoka chini waweze kujitegemea sio kuwapa hela ya Kula siku moja halaf inataka kulambwa miguu ,hapo hujamsaidia unaendelea kumfanya awe tegemezi. Wezesha kile wanachokifanya ukipeleka matrekta kuwezesha kilimo Kijiji Fulani utakuwa umewasaidia Sana na hawatarudi kuomba Tena kwako,sio unampa jero ati akanywe pombe alafu unajiona Mungu mtu.
Mabeberu wanawapa madawa chanjo na bado mnawatukana lkn hawaachi, unatakiwa uangalie great cause sio emotional satsfication,km unamsaidia mtu ili akunyenyekee umfanye chawa bora uache tu,wanaotoa msaada wengi wanaangalia impact to humanity sio individual personality ya unayemsaidia,
Watu wenye mentality za kimasikini ndio wasisaidiwe,waliofanya mapinduzi ya kiteknolojia km einstern na Tesla waliwezeshwa unafikiri Kila mtu amezaliwa tajiri unaweza kuwa na idea Ila ukashindwa kufund ili uapply to reality,hapo matajiri wenye mentality za kitajiri ndowatajua faida ya kumsaidia masikin. Maana ukimsaidia mwenye mentality za kimasikini utaishia kutoa product km za mtoa mada maana mat**ko yashaanza kulia mbwataHakuna Tajiri anayehitaji unyenyekevu wa Masikini. Kwani unamsaidia nini huo unyenyekevu?
Unajua Masikini wanaakili za ajabu Sana.
Kinachokufanya uwe mnyenyekevu ni umasikini wako.
Na wala sio unyenyekevu Bali unafiki wa kimasikini ili upewe msaada, alafu ukishaupata unaonyesha Rangi zako halisi😀😀😀
Masikini wengi hawana unyenyekevu isipokuwa unafiki.
Mnyenyekevu ni mtu mwenye hadhi ya juu ambaye ameamua kujishusha na kuishi maisha ya kawaida pasipo kujikweza.
Sasa Masikini anamaisha ya chini atajinyenyekezaje ilhali yeye yupo chini?
Watu wenye mentality za kimasikini ndio wasisaidiwe,waliofanya mapinduzi ya kiteknolojia km einstern na Tesla waliwezeshwa unafikiri Kila mtu amezaliwa tajiri unaweza kuwa na idea Ila ukashindwa kufund ili uapply to reality,hapo matajiri wenye mentality za kitajiri ndowatajua faida ya kumsaidia masikin. Maana ukimsaidia mwenye mentality za kimasikini utaishia kutoa product km za mtoa mada maana mat**ko yashaanza kulia mbwata
Masikini akipata.............?
Kumsaidia masikini ni kumkopesha Mwenyezi Mungu nae atakulipa mara nyingi. Waafrika ni masikini sababu awatoi kusaidia. Weupe wanaijua kanuni hii, wanatusaidia Ili wapate baraka
Kumsaidia masikini ni kumkopesha Mwenyezi Mungu nae atakulipa mara nyingi. Waafrika ni masikini sababu awatoi kusaidia. Weupe wanaijua kanuni hii, wanatusaidia Ili wapate baraka
Umasikini ni laana.