Usisaidie masikini, acha wafe

Ni kweli kabisa, hapa Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu.
 
Matajiri wengi ni
Wachawi
Wanafiki
Walozi
Wachoyo
Wadhulumu
Hujihesabia haki kuliko wengine
Waabudu shetani
Hawatoi sadaka kamili kwenye ibada, kumbuka yule mjane masikini ambaye YESU mwenyewe alisema ametoa sadaka kubwa kuliko wote waliotoa
Wana dhambi nyingi ndiyo maana hata YESU alihubiri kwamba ni rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa MUNGU nk nk
 
Mkuu, mimi mpaka leo siamini katika mtu aliyekulia kijijini au katika familia maskini. Yaliyonikuta najua mimi kupitia aina hizo za binadamu.
 
Wanatoa misaada Ili wafanikiwe
 

Hii ni nadharia tu, uchawi ni imani na sio KILA mtu uiamini,hizo element zingine ni tabia personal
 
Fikra mfu sana hizi.Anyway Kwangu Mimi kumsaidia Masikini ni ibada (For me, helping the poor is the kind of devotion).Kwa hiyo kila mtu na mtizamo wake.
 
Hakuna Tajiri wa kizungu anayekusaidia bila ya kupata faida.

Kanuni yasema; MPE kumi upate mara kumi(yaani Mia moja) Kama huelewi Basi.

Tangu lini Mzungu aliisadia Afrika, naomba unipe somo
Ahaa . Maendeleo ya Afrika ni products ya mkoloni,bila kutawaliwa tusingekuwa na maendeleo.Mfano Hapa Tza miji mikubwa imejengwa na wakoloni.
Wao ndio wameleta mifumo bora ya afya na elimu.
Mfano kama tukiutumia mfumo wa elimu wa mkoloni tutawaweza maliza tatizo la ajira.
 
Ila imework kwangu zaidi ya mara mia.
Hata leo nilimpa ombaomba 1200 nishapata simu ya dili najua hadi jioni nitakupa mrejesho ngapi nitapata.
Mwenyezi Mungu anasema "nijaribuni kama sitowabariki" Hata Luck Dube aliimba.God bless the hand that give."
Sasa tusipowasaidia masikini nani atawasaidia.
Maana Hakuna mwanadamu yeyeto ambae amewahi simama pekee yake bila kusaidiwa.
Saidia masikini upate heri na baraka tele.
 
Mungu anibaridi mwaka huu nimepanga kuagiza mashine china ya kutengeneza vigae na matofali fungani ya udongo kwa siku inatoa tofali laki moja na ishiriki. Kisha nitawagawia masikini wasio na makazi vijijini. Sababu najua wamekuwa ni masikini sababu hawana maarifa na pia roho za mababu ndizo zimewashikilia wengi wasiwe masikini.
 

Kama unasaidia ili upate baraka huo hauitwi msaada Bali biashara 😀😀😀

Bado hujaelewa pwenti yangu Mkuu.

Hakuna Binadamu atakayekusaidia pasipo ku-plan kupata malipo zaidi.

Ndio maana kwenye post nimesema Kama utasaidia basi Saidia 10 upate mara kumi.

Ahsante
 


Alafu Mungu ukimuomba hivyo hakupi🤣🤣. Kumbe hujui hata kanuni za kuomba.

Jenga Safina uingie wewe na Mkeo, na watoto wako, na wake au waume za watoto wako. Hiyo ndio kanuni😀😀

Ibrahim toka wewe na jamaa yako uende mpaka nchi nitakayokuagiza.

Lutu toka wewe na familia yako Kwa maana nchi hii nitaiangamiza Kwa Moto

🤣🤣
Bado pengine hujaelewa nature inahitaji nini.

Lakini utanielewa tuu
 
Achilia suala la biashara.Kusaidia ni uponyaji pia.
Healing the soul.Saidia mtu bila kutegemea kulipwa fadhila.
Kusaidia unafungua external world

Mzee wa fasihi burudika na hii kwanza.
 


😀😀😀

Nani kakudanganya Mkuu!

Umesoma History Kwa kiwango cha Ordinary ndio maana unahaki ya kusema hayo.
 
Achilia suala la biashara.Kusaidia ni uponyaji pia.
Healing the soul.Saidia mtu bila kutegemea kulipwa fadhila.
Kusaidia unafungua external world

Mzee wa fasihi burudika na hii kwanza.


KAZI yako sio kusaidia Mkuu.

Mungu ndiye kazi yake kufanya hivyo. Ndio majukumu yake hayo.

Huwezi msaidia mtu ambaye amekataa kusaidiwa na Mungu.

Masikini ni Yule asiye na miguu, mwenye kilema, kichaa na madhaifu mengine lakini kamwe usije ukajidanganya ukimsaidia mtu mzima mwenye akili timamu, viungo kamili ati Mungu atakubariki🤣🤣
 
😀😀😀

Nani kakudanganya Mkuu!

Umesoma History Kwa kiwango cha Ordinary ndio maana unahaki ya kusema hayo.
Ndio reality mzee ni bora wakoloni wangeendelea kuwepo tungekuwa mbali sana na kwa ustaarabu wa hali ya juu.
Mwafrika hana uwezo wa kuongoza Jamii na ikastawi.Hii ni nature ukishakuwa na chuki, ubinafsi,roho mbaya unajiconnect automatic na negative energy.Umasikini ni end product ya negative power. Ukimjua Mwenyezi Mungu na kuzijua kanuni zake huwezi kuwa masikini.
 
Samahani mkuu, wewe ni Young Lunya?
 
Neno masikini ni pana KILA mmoja ni masikini kwa tasfiri nyingine lakini kuu iliyozoeleka ni masikini wa kipato.
-masikini wa
.roho
. kipato
.viungo
.imani
.mawazo
Nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…