Usisaidie masikini, acha wafe

Usisaidie masikini, acha wafe

mzee umetudanganya.yule lazaro alikuwa anakula makombo mlangoni kwa tajiri mmoja lakini mwisho wa siku Lazaro alienda mbinguni na tajiri motoni.mimi kwenye kuoa masikini naoa tuuu

Oa tuu, Ile ni hadithi aliyoitoa Yesu akiwa anawafundisha wanafunzi wake. Mimi ni mwalimu, najua Yesu alilenga nini wanafunzi wakipate kupitia mfano wake huo wa hadithi
 
Ndugu yangu, hata umuone masikini anakufa njaa hapo usimsaidie, muache afe, jitie kihere here kumsaidia yatakayokupata mimi simo.
Ni bora umpe hicho chakula mbwa wako usiku atakulinda. Bora uwape kuku hicho chakula utakula mayai yake. Lakini sio masikini, masikini kumsaidia ni kumsaidia shetani.
Wewe una roho ya korosho kama Magufuli, reference ya maafa ya Kagera na njaa ya Geita.

Huwezikuta tajiri anamualika masikini nyumbani kwake. Matajiri wanajua kumuita masikini nyumbani ni kumkaribisha shetani ndani ya nyumba, mikosi na mabalaa yataandama nyumba hiyo mpaka wakome.
Yesu alizaliwa ktk mazingira duni na kuishi ktk maisha duni. Alikaribishwa nyumbani kwa Mfarisayo kwa ajili ya kalamu (chakula). Inamaana Mfarisayo alimkaribisha shetani?


"Mtu mmoja katika Mafarisayo alimwalika ale chakula kwake; akaingia katika nyumba yake yule Farisayo, akaketi chakulani."

Luka 7:36
 
bila kukupesa watu masikini wakutupwa wakipewa nafasi huwa wanafanya maajabu makubwa sana katika taasisi na nyanja mbalimbali, hata mashuleni fuatilia vizuri utaona mayatima wanavyoperform vizuri sana na wana nidhamu ya juu sana....

Naona umefananisha umasikini na ushamba kwasababu ukimsomesha mtu mshamba na akajanjaruka, ataanza kweli kuwa na tabia za ajabu, lakini ukimsomesha masikini atakulipa fadhira na ataweka mazingira yawewe kuendelea kumuamini....

Nimejibu kwa kuzingatia muktadha wa mada, ila najua unaweza kuwa umemaanisha vitu vingine kabisa kama fasihi inavyokupa uwanda mpana......
Pamoja na yote hayo, jambo moja tu nikurekebishe, YATIMA sio maskini, huyo ni mtu aliefiliwa na mmoja ya wazazi wake ama wote.
 
Sikubaliani na falsafa yako mkuu

Tuombe uzima, utakubali siku moja. Utasema Taikon aliwahi sema hii.

90% masikini ni shetani

Waulize waliowasaidia watakuambia

Msaidie masikini ukiwa na lengo la kupata faida utabarikiwa, lakini ukimsaidia ati kwa nia njema utalaaniwa, maana lazima utalalamika tuu ubaya atakaokufanyia
 
Tuombe uzima, utakubali siku moja. Utasema Taikon aliwahi sema hii.

90% masikini ni shetani

Waulize waliowasaidia watakuambia

Msaidie masikini ukiwa na lengo la kupata faida utabarikiwa, lakini ukimsaidia ati kwa nia njema utalaaniwa, maana lazima utalalamika tuu ubaya atakaokufanyia
Maskini ni kweli ana roho mbaya, tajiri apatapo huwa ni chukizo kwake,
 
Wewe una roho ya korosho kama Magufuli, reference ya maafa ya Kagera na njaa ya Geita.


Yesu alizaliwa ktk mazingira duni na kuishi ktk maisha duni. Alikaribishwa nyumbani kwa Zakalia (kama sijakosea) kwa ajili ya kalamu. Inamaana Zakalia alimkaribisha shetani?

Sasa huoni baada ya Magufuli kuwachana makavu huoni watamchagua tena?

Zakayo alikuwa na Yake, alikuwa anatafuta umashuhuri kupitia Yesu. KIKI hazijaanza leo asee! Wewe bado kuna mambo unayachukulia sirius wakati ni yakawaida.

Zakayo alitafuta Kiki Tuu

Tukio la Zakayo ni KIKI

Hapo nyuma tunamuona Tajiri mmoja akimfuata Yesu na kumuuliza afanye nini ili aweze kuurithi ufalme wa Mungu? Yesu akamuuliza wazijua Amri? Tajiri akamtajia amri. Yesu akampongeza kuwa amefanya vyema. Ili Yesu aizime ile Kiki ya Yule Tajiri akamuambia agawe mali zake zote kisha amfuate. Tajiri kwa kusikia hivyo akakimbiua. Hii ilikuwa Kiki ya tajiri.

Sasa Zakayo Kiki yake ni ile iliyoboreshwa kutoka kwenye Kiki ya hapo Juu. Na ndio maana akasema nusu ya mali yake atawapa masikini. Kweli pale pale akatoa pesa na kugawa nje watu wakavunjana kung'ang'ania.

Zakayo alifanya kiki kukuza jina lake kwenye mji ule. Na hata hivi leo jina lake lipo sio kwa sababu ya nini, bali Kiki yake hiyo ambayo haina uthibitisho kuwa alitoa nusu ya mali yake kwani haikutajwa anamali kiasi gani, hivyo hata angetoa kiasi chochote isingekuwa uthibitisho wa kuwa ametoa nusu ya mali zake.

Ili isiwe Kiki, Biblia isingeshindwa kuandika kuwa alikuwa na mali kadhaa na akatoa kadhaa. Kama Biblia ilivyoandika kwa habari ya Ayubu, Ibrahimu, Daudi, wote hao mali zilitajwa kwa hesabu
 
Maskini ni kweli ana roho mbaya, tajiri apatapo huwa ni chukizo kwake,

Mkuu, Masikini ndio wanaharibu dunia. Ukitaka uwe masikini basi waendekeze masikini. Ukitaka utajiri waendekeze matajiri hiyo ni kanuni

Ukitaka uwe na ushetani muendekeze shetani, ukitaka uwe na umungu muendekeze Mungu. Hiyo ni kanuni
 
Back
Top Bottom