Usisaidie masikini, acha wafe

Ulichoanndika kina ukweli mkubwa Ila kwa imani zetu za kiafrika huwa hakitamkwi, kwa sababu ya Sera zetu za kijamaa, za kubebana Ila kwa nchi zilizoendelea ambazo Zina Sera za kibepari hususani Marekani uliyoyaandika yote Ni kweli hata Kama hutaambiwa. Niliishi San Diego Marekani, Iknow how what's written does exist,

Ila tunapoelekea kiuchumi hata bila kutamkwa tutakubaliana tu kuwa ulichoandika Ni sahihi kwakuwa maandiko huwa hayapotezi maana. Na pia Ni wazi tajiri humdharau maskini.

Na pia tukumbuke tunaweza kuukataa ukweli Ila hatuwezi kukataa athari za ukweli. keep on mind.
 
Mada yako Ina ukweli maskini wengi Wana roho mbaya ya chuki, wachawi wao, wasengenyaji wao, walipa visasi, hata jehanamu watakuwa wengi, naichukia umaskini ngoja nifanye kazi kwa bidii umaskini ni laana mbaya
 
Sawa babu
we tuache sisi masikini
sisi hatujui na hatujawahi kusikia kitu kinaitwa ugonjwa wa moyo, ugonjwa wa kisukari, saratani, upungufu wa nguvu za kiume, hatuzai kwa sindano wala mkasi, tunadunda tu
 
Mada yako haina uhalisia wowote ni utumbo kwa kiasi kikubwa .

Wapo matajiri wamepambana wenyewe kutoka kwenye umaskini wakatajirika
 
Mwandishi ni Imani gani..?

Hv umaskini unapimwa kwa nini adi kujua huyu maskini..?Mana kunamatifa wanatuona sisi tanzania ni maskini.

Kama umemaanisha umaskini wa mawazo apo sawa Mana naona ata wewe mwandshi upo Kwenye hlo kundi.
 
Sawa babu
we tuache sisi masikini
sisi hatujui na hatujawahi kusikia kitu kinaitwa ugonjwa wa moyo, ugonjwa wa kisukari, saratani, upungufu wa nguvu za kiume, hatuzai kwa sindano wala mkasi, tunadunda tu
hahaha masikini wanavyojifariji unadhani hata mwenye pesa hawezi kujijali afya yake ...kila kitu ni maamuzi tu...hata maskini ukijifanya maskini jeuri kua haujijali afya yako sababu wewe ni maskini ...utakwenda na maji tutazika na kusahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…