KOSA KUBWA SANA TENA SANA...unakua kama ulikuja duniani kusindikiza watu tuKuzaliwa maskini sio kosa kosa kufa maskini
Je njia walizopambana unauhakika siyo za kishetani?Mada yako haina uhalisia wowote ni utumbo kwa kiasi kikubwa .
Wapo matajiri wamepambana wenyewe kutoka kwenye umaskini wakatajirika
Siyo kila mtu anatumia njia za kishetaniJe njia walizopambana unauhakika siyo za kishetani?
Masikini hata akipata, umasikini wake hauondoki akilini, kuna watu hawana pesa lakini ni matajiri, as hawana attributes za kimasikini, lakini masikini hata akipewa bado umasikini wake hauondoki.Siyo kila mtu anatumia njia za kishetani
Wahenga waliona mbali, walijua mengi. Masikini hata akipata, kuondoa umasikini wake wa kifikra ni shida."Masikini akipata matako hulia mbwata."
Hivi muhenga aliyetunga methali hii alikuwa anatafuta nini kwenye matako ya masikini?
Haya sawaMasikini ni shetani
Masikini ni mchawi
Masikini ni mnafiki
Masikini weee
bila kukupesa watu masikini wakutupwa wakipewa nafasi huwa wanafanya maajabu makubwa sana katika taasisi na nyanja mbalimbali, hata mashuleni fuatilia vizuri utaona mayatima wanavyoperform vizuri sana na wana nidhamu ya juu sana....
Naona umefananisha umasikini na ushamba kwasababu ukimsomesha mtu mshamba na akajanjaruka, ataanza kweli kuwa na tabia za ajabu, lakini ukimsomesha masikini atakulipa fadhira na ataweka mazingira yawewe kuendelea kumuamini....
Nimejibu kwa kuzingatia muktadha wa mada, ila najua unaweza kuwa umemaanisha vitu vingine kabisa kama fasihi inavyokupa uwanda mpana......
Tafsiri ya maskini hajaipambanua vizuri sababu tabia alizoainisha zina reflect limbukeni by 100% ila umaskini unaanzia katika nafsi!Mkuu me nadhani umemuongelea mtu mshamba na sio masikini
Wewe ndio umeongea kile ambacho kilikuwa kichwani mwangu kwa wepesi zaidi.Masikini hata akipata, umasikini wake hauondoki akilini, kuna watu hawana pesa lakini ni matajiri, as hawana attributes za kimasikini, lakini masikini hata akipewa bado umasikini wake hauondoki.
Brother Umejipanga Kila Kona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio
husikii alivyowaambia kesho yake, aliwaambia mmekuja leo tena kwa sababu ya chakula na sio neno la Mungu, yaani jana kwa vile walipewa samaki na mkate ndio maana siku iliyofuata wakaongezeka maradufu.
[emoji23]Masikini ni shetani
Masikini ni mchawi
Masikini ni mnafiki
Masikini weee