Usiseme Vyuma Vimekaza; Sema Vyuma Vyangu Vimekaza

Usiseme Vyuma Vimekaza; Sema Vyuma Vyangu Vimekaza

La Quica

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,315
Habari za weekend wakuu.

Kumekuwa na kamsema ambako kanaashiria hali ngumu ya maisha "vyuma vimekaza" lakini kuna watu bado wanatumbua maisha kama kawa.

Kwahiyo basi nashauri kila mtu akiona hali yake ngumu asiseme "vyuma vimekaza" bali "vyuma vyangu vimekaza". Uki generalize kuna wengine wanakwazika.
 

Attachments

  • IMG-20180825-WA0016.jpg
    IMG-20180825-WA0016.jpg
    64.7 KB · Views: 28
Habari za weekend wakuu.

Kumekuwa na kamsema ambako kanaashiria hali ngumu ya maisha "vyuma vimekaza" lakini kuna watu bado wanatumbua maisha kama kawa.

Kwahiyo basi nashauri kila mtu akiona hali yake ngumu asiseme "vyuma vimekaza" bali "vyuma vyangu vimekaza". Uki generalize kuna wengine wanakwazika.
Ni mtu mmoja au kundi la watu, maana mtu mmoja haileti lojiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata niwe na billion 100 mi hizo sehemu sipendi kwenda kwakweli labda niwe na demu wangu amelilia najua akijitahidi kanywa Heineken 6 .. Mimi ni Mzee wa bar .. Muhudumu kumshika matakp na vituko vingine bia 1500 bei elekezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za weekend wakuu.

Kumekuwa na kamsema ambako kanaashiria hali ngumu ya maisha "vyuma vimekaza" lakini kuna watu bado wanatumbua maisha kama kawa.

Kwahiyo basi nashauri kila mtu akiona hali yake ngumu asiseme "vyuma vimekaza" bali "vyuma vyangu vimekaza". Uki generalize kuna wengine wanakwazika.
Eti sprit soda 2000
 
Back
Top Bottom