Usishangae;Fans wa Diamond walikuwa blood Fans wa Alikiba

Mkuu acha kuongopea eti domo kaanza mziki 2009' yaani kamwambie na mbagala ni za 2009? Au mwaka huo ndio ulianza kuzisikia nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichogundua mashabiki wengi wa kiba wanasifa moja inayofanana,hususan hawa walioanza kuwa mashabiki baada ya yeyekurudi kwenye muziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi tunamshangaa Ali kiba ,alivuma akabweteka,sasa mwingine kajitengenezea njia kimataifa,sasa kamtumia kurudi kwenye mziki. Hapo tunapoona Ali ni kama anaroho mbaya,ndo maana aliekaribu na kiba hata show baa hapati,
Halafu mie namshangaa anaemsapot kiba ,sjui ni kwa wema upi alionao kwa watz. Return ya achievement yake imewahi kumfkia nani ?, Mi wote ni wasanii wazuri na nyimbo zao ninazo,ila huu mpya Wa kiba sijauelewa
 
Nataman kushare
 
Japo jamaa wanamshobokea but dude is a selfish one, kudhihirisha hilo ni kuwa kashindwa hata kumsaidia dogo lake asisike. Mond ana gundu coz pamoja na kusaidia watu wengne kama kina harmonize, rayvanny, lavalava, richimavoka n.k lkn watu kama hawamwelewi iv.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatushangai povu la sabuni+ la dawa ya meno..napenda sana kina anavyowanyima raha.
 
Kwanini hakuna shabiki wa kiba? Kama hauongelei ushabiki nafikiri unajua kwamba kauli yako si kweli, Kiba alitengeneza base kubwa ya mashabiki kabla hajapumzika mimi pia nikiwemo, ujue ushabiki huwa unakuja tu kulingana na unavyoguswa na kazi husika...
Ukisema eti watu wanamchukia msanii A ndo maana wanamshabikia msanii B unakuwa unakosea, maana wengi tunachofata ni burudani...hayo magari na majumba hayawezi kuwa kigezo cha kumpenda au kumchukia msanii!

Mbona kuna wasanii tuna mahaba nao toka Uk na Us ila hatujui hata wanamiliki nini na nini!

Kikubwa tuache ushindani uchukue nafasi katika butudani, kuliko kung'ang'ana na habari za chuki!

Hata kwa wenzetu timu zipo, pamewahi kuwa na ushindani mkali sana kati ya Taylor Swift na Katy perry, mashabiki wa taylor wakijiita "swifties"huku wale wa Katy wakijiita "Katycats" ila bado Pop haikuteteleka!
 
Hana gundu basi tu wanadiss huku wanakubali kiaina
 
kuna vitu vinakera sana hapa duniani..
 
Eti Marlaw alikuja baada ya Alikiba kupumzika, jaribu kuficha upumbavu wako basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…