Af Wenye roho mbaya hua na SURA MBAYA kama hyo yako,..sjui kwanin yan..[emoji23][emoji23][emoji23],pole sana bro,..si kwa uso huo,na roho hyoHakupendwa Yesu, pamoja na mazuri yote aliyoyafanya hapa duniani na bado watu wakamsurubu na kumtundika juu kama nyama buchani sembuse huyo bwana wako Almas. Kila mtu ana uchaguz wake nini cha kupenda na nini cha kukichukia usifos wote tumpende yeye.
Nao hvyo hvyo...y umchukie mtu,chukia kaz yake..ni sawa nakusema,..namchukia lady gaga,sabab huna,utakua una pepo
Am a Male wit long D**ckUsipanic dada, hakuna chuki wala nini.
Kwahiyo huu ndio ugunduzi wako? wenzetu wanagundua drones sisi tunagundua upuuzi kama huu!! ivi kwa ugunduzi kama huu tanzania ya viwanda itakaa ifikiwe kweli?[emoji111]
Its a joke....just funny...!! Hishangai mleta Uzi kudai watu wanamchikia Domo (Chibu) sababu ya pesa yake....!!Inakusaidia nin ukiwachukia,au inawasaidia nin,af watu kama nyie mnakuaga na SURA chafu/mbaya..kwa roho mbaya.
Umejuaj kuwa watu wanamchukia yeye na sio kaz yakeNao hvyo hvyo...y umchukie mtu,chukia kaz yake..ni sawa nakusema,..namchukia lady gaga,sabab huna,utakua una pepo
Tatizo watu mnkurupuka tu na mihemko ambayo wala hata haina maana cjui mm nimegundua nn hapo zaidi ya kuunga mkono hoja ya mleta uziKwahiyo huu ndio ugunduzi wako? wenzetu wanagundua drones sisi tunagundua upuuzi kama huu!! ivi kwa ugunduzi kama huu tanzania ya viwanda itakaa ifikiwe kweli?
Wenye viwanda kweli hua tunacheka sana mtu akija na kauli kama yako,hiv unahis nasis hatupumziki kijana.?hapa ndio tunapumzika,tunakunywa,..unataka niwe site mda huu ndugu,..sasa nakuhamasisha wew,fungua kiwanda kama mim.Kwahiyo huu ndio ugunduzi wako? wenzetu wanagundua drones sisi tunagundua upuuzi kama huu!! ivi kwa ugunduzi kama huu tanzania ya viwanda itakaa ifikiwe kweli?
Ajira: Natafuta kijana mkali wa kuchoma nyama zenye viungo vya kipemba, shawarma n.kWenye viwanda kweli hua tunacheka sana mtu akija na kauli kama yako,hiv unahis nasis hatupumziki kijana.?hapa ndio tunapumzika,tunakunywa,..unataka niwe site mda huu ndugu,..sasa nakuhamasisha wew,fungua kiwanda kama mim.
Go n joke ur testicles or take a nap.Its a joke....just funny...!! Hishangai mleta Uzi kudai watu wanamchikia Domo (Chibu) sababu ya pesa yake....!!
Infact my face is so BAD ( Son of ***ch)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujagundua wanachomchukia jamaa had leo,bas itakua ulikua unapata shida sana kuelewa hata darasan,infact u got the lowest n wickest iq in ths whole world.
Hiz n timu tu mkuu hakuna ambae anachukiwa iwe kwa Kba au Mondi n kama Cmba na Yanga ukimsikia mtu anasema nachukia timu fulan ujue n ushabiki tuKama hujagundua wanachomchukia jamaa had leo,bas itakua ulikua unapata shida sana kuelewa hata darasan,infact u got the lowest n wickest iq in ths whole world.
Unachoshindwa elewa,mim natoa ajira,sehem yangu ya nyamachoma pekee inanipa pesa kwa wiki ambayo wew am sure hutengenez a month..,na mirad mingne,na nkikwambia kiwanda changu cha fertilizer ndicho kinastawisha baadh ya maeneo,utaendelea kuona sina akil..?Ajira: Natafuta kijana mkali wa kuchoma nyama zenye viungo vya kipemba, shawarma n.k
Hata mimi naona una KI-WONDER...
OkayHiz n timu tu mkuu hakuna ambae anachukiwa iwe kwa Kba au Mondi n kama Cmba na Yanga ukimsikia mtu anasema nachukia timu fulan ujue n ushabiki tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala siyo kumchukia ni kumwambia ukweli kaiba wimbo wa Matonya. Kuhusu wewe kuingiza mil5 kwa mwezi nakupa pongezi maaana unadhihirisha kwamba maisha tz siyo magumu kama wengine wanavyotuaminisha mitandaoni katika awamu ya mzee wa MajipuMkuu mi naingiza 5mil na ushee a month wala sihitaj pesa ya WCB,mi nimewambia ukwel,yaan ukiona unamchukia diamond,ujue we ni mhanga wa hayo niliyosema kule juu..y umchukie mtu for no reason?.hakujui,humjui,hamlishi,hakulishi,..get a life bro