Usishindane Na Mwanamke Matumizi

Afu utakuta kwenye status kaandika "Asante Mungu kwa mema unayenitendea." Badala ya asante madanga.
 
Kisifuli Manyoya Ulikuwa Lakin....??

Au Ulitoka Deshiii.......!!
 
tehe tehe tehe hata hiyo hapo haina jinsi hahahahha (avatar)
Umezoea kuweka za wazee wenye jino moja moja ndio sababu....hata hivyo hii ya sasa kutumiwa na KEπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™.....dah! ila sawa tu.
 
Sio wewe wengi tu walidhani hivyo hadi ili bidi niweke uzi wa kueleza jinsi yangu ahahaahahah labda nina sura ngumu hahahahahahahahah
Nikiwemo namimi kwenye hiyo list make mpaka siku moja kwenye post flan hivi kidogo nikimbie nikidhani nimefatwa nabeberu.Ilo jina dah kulielewa jinsia mpaka ujitoe ufaham
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…