Usishiriki kusambaza Taarifa Potofu kwani zinaweza kuchochea Chuki, Taharuki, Mgawanyiko wa Kijamii na Kuhatarisha Amani

Usishiriki kusambaza Taarifa Potofu kwani zinaweza kuchochea Chuki, Taharuki, Mgawanyiko wa Kijamii na Kuhatarisha Amani

JamiiCheck

Member
Joined
Nov 3, 2023
Posts
98
Reaction score
122
Unapobaini kuwa Taarifa uliyokutana nayo Si ya Kweli, epuka kuisambaza kwa wengine kwani inaweza kuwa chanzo cha Migogoro na Taharuki katika Jamii.

Zuia Taarifa Potofu kwa kufanya Uthibitishaji wa kila Taarifa unayokutana nayo ili kuchochea uwepo wa Taarifa Sahihi wakati wote.
 
Unapobaini kuwa Taarifa uliyokutana nayo Si ya Kweli, epuka kuisambaza kwa wengine kwani inaweza kuwa chanzo cha Migogoro na Taharuki katika Jamii.

Zuia Taarifa Potofu kwa kufanya Uthibitishaji wa kila Taarifa unayokutana nayo ili kuchochea uwepo wa Taarifa Sahihi wakati wote.
sasa itakuwaje wengine taharuki na migogoro ndo furaha ya maisha yao, mi mwenyewe hapa namtafuta wa kumchochea
 
Unapobaini kuwa Taarifa uliyokutana nayo Si ya Kweli, epuka kuisambaza kwa wengine kwani inaweza kuwa chanzo cha Migogoro na Taharuki katika Jamii.

Zuia Taarifa Potofu kwa kufanya Uthibitishaji wa kila Taarifa unayokutana nayo ili kuchochea uwepo wa Taarifa Sahihi wakati wote.
Zuia Taarifa Potofu kwa kufanya Uthibitishaji wa kila Taarifa unayokutana nayo ili kuchochea uwepo wa Taarifa Sahihi wakati wote.📌🔨
 
Mbona nyie mnaruhusu taarifa ambazo ni zimejaa uongo tena za kukashifu dini humu jf, kwanini msianze nyie kuonyesha mfano?
Mkuu mada za kidini huwa zina debate isiyoisha hivyo inawaongezea viewers!! Hapa kuna mgongano wa kimaslahi viewers vs uadilifu!!
 
Kwa nini ccm mnawahogopa mpaka mumefikia kuogopa AI (akili bandia)
 
Back
Top Bottom