Usitafute mapenzi umri wa kutafuta pesa

Usitafute mapenzi umri wa kutafuta pesa

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
"USITAFUTE Mapenzi Katika Umri Wa Kutafuta PESA"

Jana Nimechelewa Sana Kulala Nilikuwa Nasoma Tafiti Fulani Kuhusu UMRI na MAISHA.

Nikajifunza Kwamba Kuna Umri Ukiwa Nao Fursa Nyingi Zinakuwa Nje Nje, Na Unazipata Haraka.

Ila Kuna Umri Ukifika Hata FURSA Kuzipata Inakuwa Mtihani wa Chuo Kikuu, Si ni Kweli Ee?.

Mdio Maana Kuna Watu Wana Miaka Mingi au ni Wazee Kabisa Ukiongea Nae Anakwambi...

Nikipewa Nafasi Ya Kurudi UJANA Nitafanya Mambo Makubwa Sana, Nitasoma n.k.

Hii Yote Huonyesha Kwamba Kama Hutatumia MUDA Wako Vizuri Basi Utakuja KUJUTA Baadae.

Ndio Maana Watu Wengi Wakikaribia KUFA Ndio Huanza Kutoa MANENO ya BUSARA Sana, Kwa Sababu Wanajua Hawana Muda Tena.

Ndipo Katika Kuperuzi Mtandaoni Nikakutana na Huu Msemo "USITAFUTE Mapenzi Katika Umri wa Kutafuta PESA"

Huu Msemo Unawahusu Sana Vijana Kama Mimi, Wengi Tunawekeza NGUVU na BIDII Kubwa Sana.

Kwenye Mahusiano au Mapenzi Huku Tukisahau Kujijenga na Kujinoa KIUCHUMI na KIFEDHA.

Yess, Mwanaume Anaachwa Hana Pesa Badala...

Atafute PESA Anaenda Kutafuta Mpenzi Mwingine Utaendelea Kulia Sababu Ya Kuachwa.

Kama Mwanamke Alikuacha Kwa Sababu Hauna Pesa, Basi Zitafute Ili Mwingine Asije Kukuacha.

Kama Mwanaume Alikuacha Huna Maana Yaani Huna Kitu Unaweza Kumpa Zaidi Ya SEX (Ngono).

Bidada Tafuta KAZI, Jijenge Kiuchumi, Miliki Pesa Zako Kisha Mpe HESHIMA Mwanaume Wako.

Mapenzi Sio Pesa Ila Pesa Ikikosekana Ladha Ya Mapenzi Inaisha Niamini Mimi.

Kula Kula, Kuvaa, Kutoka Out, Shopping, Kwenda Vacation Kufurahi Kama Wapenzi (Wapendanao).

Sasa Wote Hamna Hela, Lazima Kuna Mmoja Atamuacha Mwenzake...Shida PESA Haipo.

Wazungu Wanasema "What You Bring At The Table, Apart From Love and Sex" Yaani (Kitu Gani Unaweka Mezani Ukiachilia Mbali UPENDO na TENDO).

Hembu Jiulize Uko Kwenye Mahusiano Hakuna Kitu Unachangia Zaidi Sana Unabaki Kumwambia....

NAKUPENDA, NAKUPENDA, NAKUPENDA (Inachosha Hii Kitu, UPENDO ni VITENDO).

Leo Anza Kujijenga Kwanza Ili Ukiingia Kwenye Mahusiano Uwe na Kitu Cha ZIADA Sio UPENDO na TENDO PEKEE.
 
"USITAFUTE Mapenzi Katika Umri Wa Kutafuta PESA"

Jana Nimechelewa Sana Kulala Nilikuwa Nasoma Tafiti Fulani Kuhusu UMRI na MAISHA.

Nikajifunza Kwamba Kuna Umri Ukiwa Nao Fursa Nyingi Zinakuwa Nje Nje, Na Unazipata Haraka.

Ila Kuna Umri Ukifika Hata FURSA Kuzipata Inakuwa Mtihani wa Chuo Kikuu, Si ni Kweli Ee?.

Mdio Maana Kuna Watu Wana Miaka Mingi au ni Wazee Kabisa Ukiongea Nae Anakwambi...

Nikipewa Nafasi Ya Kurudi UJANA Nitafanya Mambo Makubwa Sana, Nitasoma n.k.

Hii Yote Huonyesha Kwamba Kama Hutatumia MUDA Wako Vizuri Basi Utakuja KUJUTA Baadae.

Ndio Maana Watu Wengi Wakikaribia KUFA Ndio Huanza Kutoa MANENO ya BUSARA Sana, Kwa Sababu Wanajua Hawana Muda Tena.

Ndipo Katika Kuperuzi Mtandaoni Nikakutana na Huu Msemo "USITAFUTE Mapenzi Katika Umri wa Kutafuta PESA"

Huu Msemo Unawahusu Sana Vijana Kama Mimi, Wengi Tunawekeza NGUVU na BIDII Kubwa Sana.

Kwenye Mahusiano au Mapenzi Huku Tukisahau Kujijenga na Kujinoa KIUCHUMI na KIFEDHA.

Yess, Mwanaume Anaachwa Hana Pesa Badala...

Atafute PESA Anaenda Kutafuta Mpenzi Mwingine Utaendelea Kulia Sababu Ya Kuachwa.

Kama Mwanamke Alikuacha Kwa Sababu Hauna Pesa, Basi Zitafute Ili Mwingine Asije Kukuacha.

Kama Mwanaume Alikuacha Huna Maana Yaani Huna Kitu Unaweza Kumpa Zaidi Ya SEX (Ngono).

Bidada Tafuta KAZI, Jijenge Kiuchumi, Miliki Pesa Zako Kisha Mpe HESHIMA Mwanaume Wako.

Mapenzi Sio Pesa Ila Pesa Ikikosekana Ladha Ya Mapenzi Inaisha Niamini Mimi.

Kula Kula, Kuvaa, Kutoka Out, Shopping, Kwenda Vacation Kufurahi Kama Wapenzi (Wapendanao).

Sasa Wote Hamna Hela, Lazima Kuna Mmoja Atamuacha Mwenzake...Shida PESA Haipo.

Wazungu Wanasema "What You Bring At The Table, Apart From Love and Sex" Yaani (Kitu Gani Unaweka Mezani Ukiachilia Mbali UPENDO na TENDO).

Hembu Jiulize Uko Kwenye Mahusiano Hakuna Kitu Unachangia Zaidi Sana Unabaki Kumwambia....

NAKUPENDA, NAKUPENDA, NAKUPENDA (Inachosha Hii Kitu, UPENDO ni VITENDO).

Leo Anza Kujijenga Kwanza Ili Ukiingia Kwenye Mahusiano Uwe na Kitu Cha ZIADA Sio UPENDO na TENDO PEKEE.
Pesa utapata kweli baada ya kuteseka sana kuzitafuta lakini hazitikupa furaha timilifu!
Hisia kubwa mbaya duniani ni pale unapokuja kutambua huyo ulienae yaani mfariji wako yupo hapo sio kwaajili Yako Bali Kwa pesa zako!yaani wewe binafsi huna thamani kabisa kwake Bali pesa zako!!

Acheni makahaba wajiuze TU na wanaonunua wanunue kuliko kuigiza upendo wa mshumaa!!!
 
Pesa utapata kweli baada ya kuteseka sana kuzitafuta lakini hazitikupa furaha timilifu!
Hisia kubwa mbaya duniani ni pale unapokuja kutambua huyo ulienae yaani mfariji wako yupo hapo sio kwaajili Yako Bali Kwa pesa zako!yaani wewe binafsi huna thamani kabisa kwake Bali pesa zako!!

Acheni makahaba wajiuze TU na wanaonunua wanunue kuliko kuigiza upendo wa mshumaa!!!
Hakuna upendo usio na gharama,anayekupenda bure ni mama yako mzazi pekee anaweza
 
Hii kitu nimesikiliza asubuh hii kwenye radio kwamba ukitaka mapenzi yadumu na kupendeza basi wote muwe vizur kiuchumi sio mwanaume ndo mtoaji sana hii linafanya penz kufa sababu ingekua na mwanamke anazo akikuomba hela au kitu chochote umnunulie unasema huna hela au huwez mwanamke hatokasirika Wala kupata jazba sababu hata yeye anauwezo wa kukinunua hicho kitu Kwa pesa yake mwenyewe
 
Back
Top Bottom