Na mimi pia ni mhanga wa hii postNakubaliana na wew kwa asilimia 100, mimi ni mhanga wa hii post yako, nilipata pesa, nimejenga nyunga japo inanisitiri lakini mfukoni sina kitu kabisa
Nyumba ya biashara.Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
Ujenzi wa nyumba hauishagi.kununua kiwanja mapema ni jambo la muhimu sana.. sababu miji inakua sana na ukichelewa utauziwa kiwanja kwa mamilioni..
ila kujenga mapema kama kipato sio kikubwa ni mateso ya miaka mingi sana na sana
Nyumba ni asset au liability? Ni asset kwa kipindi fulani na ni liability kwa kipindi fulani pia.Haya mambo ni magumu kuyashauri jamani inategemea na interest za mtu na maisha aliyomo pia, mleta uzi unaweza kuwa sahihi kwa upande mwingine usiwe sahii ila inategemea na mtu, kwani hata historia zetu ziko tofauti, ila nyumba ni muhimu hata kabla sijawa na chochote kile.
Ni vizuri lakini sio vizuri sana,wengi wetu hatujiamini kwenye biashara kwahiyo baada ya kuwa na kiwanja kinachofuata huwa ni kujenga.Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
😀😀😀mnatuchanganya inaonekana ww una nyumba za kupangisha utaki tujenge ili tuendelee kukaa kwako
Rich people thinking. Safi sana.Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
Wazo hili nimelipenda sana hata mie ninalo na ndiyo ninalifanyiaga kazi siku zote. Kwanza kiwanja kisha kinakaa kusubiria miradi itakayowezesha kujenga hiyo nyumba. Japo changamoto huwa ni kubwa kwamba ni mradi gani hasa utakaosimama pasipo kuyumba na kufikia lengo?!kununua kiwanja mapema ni jambo la muhimu sana.. sababu miji inakua sana na ukichelewa utauziwa kiwanja kwa mamilioni..
ila kujenga mapema kama kipato sio kikubwa ni mateso ya miaka mingi sana na sana
Hahahah umri ni kitisho sana kwa mtu anayetazama muda kwenye mbio za maendeleo[emoji3]Kwahiyo wewe hujaanza unasubiri hali itengamae?
Una umri gani?,