Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Ila baadhi ya wanaume wa JF kweli vigeu geu leo hii mgombani pamekua pachungu!!!!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Dada zetu wa kichagga, naoma mje mjitetee.....nini kimewasibu jameni........halafu wewe agwe.....umevuka mikoa yoye mpaka kilima kyaro kweli......mama mkwe hakopeshwi.......labda kwa mwanasheria na aweke mali rehani...utaiweza hiyo????....mbunye hoyeeee
 
Wazazi wa Kinyakyusa Wana utu pia wastaarabu ila ndugu zetu huko kwa wapika mbege 'mtihani'

Wanyaki wa wapi unaowasema wewe? Wanyaki hawa hawa nnaowajua mimi au? They are very controlling
 
Suala la kujenga kama upo mkoa tofauti na nyumbani anza kujenga nyumba yako kisha unaenda kijijini kwenu unajenga nyumba ya wazee wako ukishamaliza nyumba ya wazee ndio unajenga kwenye kiamba chako hii ni muhimu maana ni nyumba ya kufikizia ukija na familiya yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…