Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Ukweni sio nishaapa hakuna ndugu wa mke atakuja na shida mm nitoe pesa yangu mfukoni kumpa kuna shemeji yangu dada wa wife alinionba nimkopeshe laki 1 atanirudishia baada kama ya siku 3 mbele ebwanaaeee nkaingia kingi nkampa ndo mpaka leo mwaka wa pili huu tena kajikausha kama hakijatokea kitu nkasema anhaaaa ook kumbe hivyo tu jambo dogo sanaaa tangu siku hiyo ndugu zake wife wote atakaeomba msaada wa kipesa basi anaambulia ushauri
Alivyoomba mkopo wa 100,000/= wewe ungemkopesa 50,000/=
 
Back
Top Bottom