Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Juzi tu wife..kamkopesha mamkwe hela ambayo tuliipangia matumizi mengi...hata sijui kama hii hela itarudi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wife Kesha kupiga! Alafu hata hakuogopi! Maana wife wangu akitoa pesa yoyote kwa ndg yake bila kunihusisha tangu mwanzo,itabidi yeye ndiyo awajibike kwa uzembe wake!!
 
Wapalestina ni wachaga wa Machame, sijui kwanini wanaitwa hivyo
Wapalestina wale wanapambana na waisrael kule ukanda wa gaza huko mashariki ya mbali ni watu wa visasi na kuanzisha shari muda wowote kama asili yao ilivyo.

So watu waka adopt hilo jina na kuwapa wanawake wa machame sababu ni watu wa kupenda kuanzisha shari ndani ya nyumba, hawana heshima na utii kwa mume. Wanatazama masilahi yao na ni watu wa kujilinda masilahi yao tu sio wastaarabu.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha kudadadeki meen we ni noma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeilezea kitaalamu sana.....
 
Tabia mbaya ya mtu mmoja siyo ya watu wote
 
Ukweni pita Kama Petrol Station panawaka anytime Kama si moto Basi wizi
 
Niliwahi kumsitiri Shemej yangu na watoto watatu (3) kipindi ana matatizo kwenye ndoa Yake (makazi, chakula na pocket money) miezi 6 nilichoambulia kutoka kwa Mama mkwe siri yangu.
Bora ungetafuna huyo shemeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…