Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo acha kunusa mikundu utachanganyikiwa soon.....Mwanamke mmoja aliwahi kunishikia kisu ili niende kwake,nikaenda,akaniambia nisiponanilìu atanichinja ..nikafanya, alafu nikafumaniwa...nikauawa,nikafa! Basi
Unasemaaaaje😀😀😀Mwanamke hajawahi kuwa na kwake hata siku moja..
This is a real problem, wanawake hapa mjini wanaishi maisha ya kifukara sana na unakuta ana iphone 12 pro. Au getto wanashare watatu siku wakigombana panapoteza picha kabisa.Yaan madada warembooo sema maisha wanayoishii mmmh nimeapa kwenda kwa mwanamke never.
We wanakwaya ndo balaa utofauti wao na wa kwenye bar ni pombe tu lakini kuzini ni kama wapo sawa sema wanazini kistaarabu 😂😂😂Inategemeana na aina ya mwanamke na mlipokutana. We umemkuta Bar alaf ukaenda kwake. Ulitarajia nini?. Kanisani ukipata mwaliko kwa mdada muimba kwaya, nenda bila hofu. Utakula, utaimbiwa na kuombewa pia
Na ulipokuwa kaburini ukampigia simu nabii Malisa aje akufufue, akaja akakufufua.🤣🤣🤣Mwanamke mmoja aliwahi kunishikia kisu ili niende kwake,nikaenda,akaniambia nisiponanilìu atanichinja ..nikafanya, alafu nikafumaniwa...nikauawa,nikafa! Basi
Hua sina imani kabisa so hata siku ya ufufuo ilipowadia sikuisadiki,nilikua zangu mbinguni vijijini huko kwenye monesho ya nane nane ya hukoNa ulipokuwa kaburini ukampigia simu nabii Malisa aje akufufue, akaja akakufufua.🤣🤣🤣