Usithibutu kuitwa na mwanamke nyumbani kwake ukakimbilia kwenda!

Usithibutu kuitwa na mwanamke nyumbani kwake ukakimbilia kwenda!

Inategemeana na aina ya mwanamke na mlipokutana. We umemkuta Bar alaf ukaenda kwake. Ulitarajia nini?. Kanisani ukipata mwaliko kwa mdada muimba kwaya, nenda bila hofu. Utakula, utaimbiwa na kuombewa pia
We wanakwaya ndo balaa utofauti wao na wa kwenye bar ni pombe tu lakini kuzini ni kama wapo sawa sema wanazini kistaarabu 😂😂😂
 
Na ulipokuwa kaburini ukampigia simu nabii Malisa aje akufufue, akaja akakufufua.🤣🤣🤣
Hua sina imani kabisa so hata siku ya ufufuo ilipowadia sikuisadiki,nilikua zangu mbinguni vijijini huko kwenye monesho ya nane nane ya huko
 
Back
Top Bottom