anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 482
Nmb walishakula 60,000 yangu wangese haoUsithubitu Kwa nmb mobile
Nmb walishakula 60,000 yangu wangese haoUsithubitu Kwa nmb mobile
Umewasahau TTCLWakuu this is the second time yananikuta.
Nilifanya transaction kweny 🏧 pesa niipokee Kwa wakala ikakwama ilikuwa miez kadhaa myuma.
Wakati mwingine nikajitoa ufaham nikaweka fedha ndefu kutoka mwenye ATM kwenda Kwa halopesa kuepuka kutembea na banch of money. Yakanikuta tena jaman huu umekiwa upuuz mkunwa na Hadi naandika spendi yakukute. Halopesa from bank wanashida kubwa utakifa njaa
Ahhahahalotel ni mtandao wa matapeli......watanzania amkeni.watanzania jiongezeni
Inakera sanaKuna kipindi nilifanya muamala mrefu kwa njia hyo hela ilkwama alafu inahitajika kwa uharaka niliumia ikabidi nitumbukie kausha bila kupenda ifike muda haya makampuni kama huduma Fulani hawaiwezi waikaushie wanatia hasara kuna muda
Kusnzia sasa nimeuzikaHuo mtandao sijui watu wanaupendea nn😳😳
Ukifika huko Vijijini ndio utajua kwanini watu wanaupenda.Huo mtandao sijui watu wanaupendea nn[emoji15][emoji15]
Kijiji kipi hicho?? Nadhani mtandao unaopenya vijijini ni Airtel & vodaUkifika huko Vijijini ndio utajua kwanini watu wanaupenda.
Jidanganye,kuna sehemu Voda wala Airtel hawapo kuna Halotel tuu.Kijiji kipi hicho?? Nadhani mtandao unaopenya vijijini ni Airtel & voda