Usithubutu kujivunia Cheo cha Kuteuliwa, yasije kukukuta ya Chalamila

Usithubutu kujivunia Cheo cha Kuteuliwa, yasije kukukuta ya Chalamila

Hebu fikiria mtu ambaye alikuwa analindwa na Jeshi la Polisi huku akipigiwa salute na RPC, usafiri wake ukiwa ni V-8, leo anaondoka Mwanza bila hata Mgambo wa KK SECURITY, tena kwenye gari ya kupewa lift na Msamalia Mwema

Katika kipindi kifupi sana cha miaka 6 Taifa hili limefundishwa mambo mengi sana na Mwalimu Mkuu ambaye ni Mungu Mwenyewe, kama kuna asiyeelewa basi hatuna cha kumsaidia

View attachment 1817180
Kamanda umenena vyema.
 
Huyo ni Lecture wa Iringa university

Anarudi kufundisha chuo kikuu

Ana Akili sana, Sema ana masihara sana na mizaha mingi sana

Ni msomi mzuri tu wa falsafa na saikolojia, Tatizo Lake ni anaongea mambo kinyume nyume sana, Usipokuwa makini anakuingiza chaka huyo Chalamila

Anaweza akawa anakusifia kumbe anakukejeli

Anaweza akawa anakukejeli kumbe anakusifia

Juzi kaongea Mwanza kwa lengo la kusifia kuwa watu hawatabeba mabango , Mama kamshutukia kuwa mnafiki mkubwa chalamila

Anaongea mambo zig zag sana

Alitaka kugombea ubunge enzi za JPM, Ghafla akapiga u turn na kujifanya Mbeya kuna miradi mingi ya kusimamia hivyo bora abaki Mbeya, Kumbe alikuwa anaogopa kutumbuliwa na JPM

Huyo janja janja sana
Ni Lecturer na siyo Lecture !
 
Huyo ni Lecture wa Iringa university

Anarudi kufundisha chuo kikuu

Ana Akili sana, Sema ana masihara sana na mizaha mingi sana

Ni msomi mzuri tu wa falsafa na saikolojia, Tatizo Lake ni anaongea mambo kinyume nyume sana, Usipokuwa makini anakuingiza chaka huyo Chalamila

Anaweza akawa anakusifia kumbe anakukejeli

Anaweza akawa anakukejeli kumbe anakusifia

Juzi kaongea Mwanza kwa lengo la kusifia kuwa watu hawatabeba mabango , Mama kamshutukia kuwa mnafiki mkubwa chalamila

Anaongea mambo zig zag sana

Alitaka kugombea ubunge enzi za JPM, Ghafla akapiga u turn na kujifanya Mbeya kuna miradi mingi ya kusimamia hivyo bora abaki Mbeya, Kumbe alikuwa anaogopa kutumbuliwa na JPM

Huyo janja

.Kutokana na maelezo yako naweza kusema
Maelezo yako ynaonyesha hana akili kama unavyosema. Unless otherwise ''akili'' kwako ni mtu anayefanya mambo ya ujinga.
 
Hebu fikiria mtu ambaye alikuwa analindwa na Jeshi la Polisi huku akipigiwa salute na RPC, usafiri wake ukiwa ni V-8, leo anaondoka Mwanza bila hata Mgambo wa KK SECURITY, tena kwenye gari ya kupewa lift na Msamalia Mwema

Katika kipindi kifupi sana cha miaka 6 Taifa hili limefundishwa mambo mengi sana na Mwalimu Mkuu ambaye ni Mungu Mwenyewe, kama kuna asiyeelewa basi hatuna cha kumsaidia

View attachment 1817180
Ni kama analia!!!

Pole RayC tema nimchape!!!
 
Huyo ni Lecture wa Iringa university

Anarudi kufundisha chuo kikuu

Ana Akili sana, Sema ana masihara sana na mizaha mingi sana

Ni msomi mzuri tu wa falsafa na saikolojia, Tatizo Lake ni anaongea mambo kinyume nyume sana, Usipokuwa makini anakuingiza chaka huyo Chalamila
Kama huyu ndiye mwenye akili na ndiyo yuko hivyo basi hao wasio na akili huko iringa sijui watakuwaje
 
Hebu fikiria mtu ambaye alikuwa analindwa na Jeshi la Polisi huku akipigiwa salute na RPC, usafiri wake ukiwa ni V-8, leo anaondoka Mwanza bila hata Mgambo wa KK SECURITY, tena kwenye gari ya kupewa lift na Msamalia Mwema

Katika kipindi kifupi sana cha miaka 6 Taifa hili limefundishwa mambo mengi sana na Mwalimu Mkuu ambaye ni Mungu Mwenyewe, kama kuna asiyeelewa basi hatuna cha kumsaidia

View attachment 1817180
Karudi
 
Karudi vipi?
Huu mtindo wa teuzi unachochea wizi na upigaji serikalini.
Kama alikuwa hafai amerudishwaje!?
Na kama alikuwa anafaa kwanini aliondolewa!?

Haitashangaza mtu kama hayu akiwa mfujaji wa mali za uma, maana hata kama atajituma vipi hajui kesho yake.
 
Huu mtindo wa teuzi unachochea wizi na upigaji serikalini.
Kama alikuwa hafai amerudishwaje!?
Na kama alikuwa anafaa kwanini aliondolewa!?

Haitashangaza mtu kama hayu akiwa mfujaji wa mali za uma, maana hata kama atajituma vipi hajui kesho yake.
Hayo mengine baki nayo
 
Sema karudishwa , hata hivyo elimu tuliyopewa hapa tuizingatie
Huijui ccm wewe!

Wale huwa hawatumbuani ila wanapishana nafasi za kula kwa zamu!

Nyie machadema huwa mnanishangaza sana mnaposhangilia mambo yanayoendelea ccm
 
Huijui ccm wewe!

Wale huwa hawatumbuani ila wanapishana nafasi za kula kwa zamu!

Nyie machadema huwa mnanishangaza sana mnaposhangilia mambo yanayoendelea ccm
Rubbish!!
 
Hebu fikiria mtu ambaye alikuwa analindwa na Jeshi la Polisi huku akipigiwa salute na RPC, usafiri wake ukiwa ni V-8, leo anaondoka Mwanza bila hata Mgambo wa KK SECURITY, tena kwenye gari ya kupewa lift na Msamalia Mwema

Katika kipindi kifupi sana cha miaka 6 Taifa hili limefundishwa mambo mengi sana na Mwalimu Mkuu ambaye ni Mungu Mwenyewe, kama kuna asiyeelewa basi hatuna cha kumsaidia

View attachment 1817180
Utaweka wapi hilo fuvu lako 😂😂
 
Back
Top Bottom