Usithubutu kujivunia Cheo cha Kuteuliwa, yasije kukukuta ya Chalamila

Kamanda umenena vyema.
 
Ni Lecturer na siyo Lecture !
 

.Kutokana na maelezo yako naweza kusema
Maelezo yako ynaonyesha hana akili kama unavyosema. Unless otherwise ''akili'' kwako ni mtu anayefanya mambo ya ujinga.
 
Ni kama analia!!!

Pole RayC tema nimchape!!!
 
Kama huyu ndiye mwenye akili na ndiyo yuko hivyo basi hao wasio na akili huko iringa sijui watakuwaje
 
Karudi
 
Karudi vipi?
Huu mtindo wa teuzi unachochea wizi na upigaji serikalini.
Kama alikuwa hafai amerudishwaje!?
Na kama alikuwa anafaa kwanini aliondolewa!?

Haitashangaza mtu kama hayu akiwa mfujaji wa mali za uma, maana hata kama atajituma vipi hajui kesho yake.
 
Huu mtindo wa teuzi unachochea wizi na upigaji serikalini.
Kama alikuwa hafai amerudishwaje!?
Na kama alikuwa anafaa kwanini aliondolewa!?

Haitashangaza mtu kama hayu akiwa mfujaji wa mali za uma, maana hata kama atajituma vipi hajui kesho yake.
Hayo mengine baki nayo
 
Sema karudishwa , hata hivyo elimu tuliyopewa hapa tuizingatie
Huijui ccm wewe!

Wale huwa hawatumbuani ila wanapishana nafasi za kula kwa zamu!

Nyie machadema huwa mnanishangaza sana mnaposhangilia mambo yanayoendelea ccm
 
Huijui ccm wewe!

Wale huwa hawatumbuani ila wanapishana nafasi za kula kwa zamu!

Nyie machadema huwa mnanishangaza sana mnaposhangilia mambo yanayoendelea ccm
Rubbish!!
 
Utaweka wapi hilo fuvu lako 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…