KWENYE PESA HAKUNA ADUI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 225
- 349
Salam ndugu zangu wana jamvi.
Naombeni maarifa ya kuepukana na changamoto ya ugonjwa wa ngozi "MELASMA". Nimekuwa mtumiaji kwa zaidi ya miaka mitano (5) wa hii bidhaa ya MAGIC POWDER, ku-shave ndevu. Ila kwasasa imeniunguza sana mashavuni (usoni) na kifuani (wakati napaka ilikuwa inadondikea)
NATANGULIZA SHUKRANI,MWENYE KUJUA TIBA.
ASANTE 🙏
Naombeni maarifa ya kuepukana na changamoto ya ugonjwa wa ngozi "MELASMA". Nimekuwa mtumiaji kwa zaidi ya miaka mitano (5) wa hii bidhaa ya MAGIC POWDER, ku-shave ndevu. Ila kwasasa imeniunguza sana mashavuni (usoni) na kifuani (wakati napaka ilikuwa inadondikea)
NATANGULIZA SHUKRANI,MWENYE KUJUA TIBA.
ASANTE 🙏