KWENYE PESA HAKUNA ADUI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 225
- 349
- Thread starter
- #21
HakikaShortcut is always a wrong cut.
Hapo kifuani ulikuwa unafanya nini.
Ulikuwa husikii maumivu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaShortcut is always a wrong cut.
Hapo kifuani ulikuwa unafanya nini.
Ulikuwa husikii maumivu?
Nachukua mzee. Asante sanaNdevu hata kunyolea kiwembe haitakiwi laa sivyo utazeeka kabla ya muda wako kama una ulazima wa kunyoa sana nunua cutting machine za ndevu za kuchaji tumia hizo kunyolea hata upele hauwezi kupata.
Ila usinunue hizi za elfu 20 tenga budget kwanzia 60k+ unapata nzuri ambayo ukichaji mara moja unasahau kuna moja huwa naichaji mara moja inakaa miezi hata mitatu bila kuisha chaji.
Ila ukitumia hizi njia nyingine huwa naona zina outcomes mbaya sana hasa kutumia wembe na hizo poda
Asante mkuuKwa nini usinunue machine ya kunyolea Ile ya 20k inakuwa ya kucharge ivyo unaweza kujinyoa wewe mwenyewe pia ni salama kuliko kutumia shavers, magic powder ambazo zinaweza kukuletea vipele na michubuko
Ni magic powder kwajili ya kunyoleaPoda ya nini na wewe mkuu,si ungepaka hata spirit au aftershave zile za buku...
Sahihi mkuu. Ila omeniletea madhara. Namna ya kutibu sijafahamu mkuuKama kunyolea ndevu tu si ununue machine mkuu? Au huwa unapenda kunyoa utoe mpaka vishina vya nywele ibaki ngozi tu?
Imekujengea kama weusi au alama fulani hivi ya kuungua? Je, ndevu zako zikianza kukua/kuota unasikia muwasho?Sahihi mkuu. Ila omeniletea madhara. Namna ya kutibu sijafahamu mkuu
Alama ya kuungua,miwasho mara chache sana maeneo ya shingoni,mkuu.Imekujengea kama weusi au alama fulani hivi ya kuungua? Je, ndevu zako zikianza kukua/kuota unasikia muwasho?
Okaaay basi sawa. Embu tujaribu mbinu hizi.Alama ya kuungua,miwasho mara chache sana maeneo ya shingoni,mkuu.
Mkuu nakushukuru sana,nilishaacha kutumia kama miezi miwili sasa. Nimekuwa mtumiaji wa shower jelly miaka mingi za lemon.🙏🙏Okaaay basi sawa. Embu tujaribu mbinu hizi.
1. Kama pia unatumia kiwembe kushave acha mara moja. Ikiwa ni hiyo Magic powder pia acha mkuu.
2. Shave kwa mara ya mwisho halafu nenda kaoge, kisha tafuta jani la aloe vera likate, ule utomvu wake jipake eneo lote uliloshave. Usijaribu kutumia limao wala ndimu kupaka eneo hilo.
3. Pendelea kutumia sabuni za maji zenye sylic acid unapokwenda kuoga na uwe inaipaka kwa wingi eneo lako lililoathirika. Achana na powder wala rotion eneo ambalo limeathirika hasa uso wako ukiwa ni wa ngozi.
4. Kwenye mloa usisahau pia kutumia matunda mara kwa mara hasa parachichi na embe.
Kila la heri.
Shukrani mkuu
Tumia ambazo zina syllic acid.Mkuu nakushukuru sana,nilishaacha kutumia kama miezi miwili sasa. Nimekuwa mtumiaji wa shower jelly miaka mingi za lemon.🙏🙏
Okay, kuna hii dawa "MELANON X CREAM" inaweza kuwa msaada pia?Tumia ambazo zina syllic acid.
Ngozi ina tabia ya kujiponya yenyewe, ndo maana nikakushauri kwa kesi yako kitu cha kupaka kwa sasa tumia tu Aloe vera, Aloe vera ni natural na ina karibia ingredients zote.Okay, kuna hii dawa "MELANON X CREAM" inaweza kuwa msaada pia?
MKUU BARIKIWA SANA. JF NI SHULE 🙏🙏Ngozi ina tabia ya kujiponya yenyewe, ndo maana nikakushauri kwa kesi yako kitu cha kupaka kwa sasa tumia tu Aloe vera, Aloe vera ni natural na ina karibia ingredients zote.
Jipe muda bila kutumia cream/rotion. Mafuta ya nazi ni mazuri pia. Baada ya muda tafuta Nivea Luminous 360.
Ushauri mzuriNdevu hata kunyolea kiwembe haitakiwi laa sivyo utazeeka kabla ya muda wako kama una ulazima wa kunyoa sana nunua cutting machine za ndevu za kuchaji tumia hizo kunyolea hata upele hauwezi kupata.
Ila usinunue hizi za elfu 20 tenga budget kwanzia 60k+ unapata nzuri ambayo ukichaji mara moja unasahau kuna moja huwa naichaji mara moja inakaa miezi hata mitatu bila kuisha chaji.
Ila ukitumia hizi njia nyingine huwa naona zina outcomes mbaya sana hasa kutumia wembe na hizo poda
Yani kitu kikidhuru wewe basi ndio hakifai?Kuna mtu akila nyama ya kuku inamdhuru,mwingine akinywa maziwa yanamdhuru nk.Mimi mwaka wa 20 huu natumia magic powder na niko softSalam ndugu zangu wana jamvi.
Naombeni maarifa ya kuepukana na changamoto ya ugonjwa wa ngozi "MELASMA". Nimekuwa mtumiaji kwa zaidi ya miaka mitano (5) wa hii bidhaa ya MAGIC POWDER, ku-shave ndevu. Ila kwasasa imeniunguza sana mashavuni (usoni) na kifuani (wakati napaka ilikuwa inadondikea)
NATANGULIZA SHUKRANI,MWENYE KUJUA TIBA.
ASANTE 🙏
Kila la kheri mkuu.Yani kitu kikidhuru wewe basi ndio hakifai?Kuna mtu akila nyama ya kuku inamdhuru,mwingine akinywa maziwa yanamdhuru nk.Mimi mwaka wa 20 huu natumia magic powder na niko soft