Usithubutu mtanashati mwenzangu/acha kabisa "Shaving powders"

Usithubutu mtanashati mwenzangu/acha kabisa "Shaving powders"

Ndevu hata kunyolea kiwembe haitakiwi laa sivyo utazeeka kabla ya muda wako kama una ulazima wa kunyoa sana nunua cutting machine za ndevu za kuchaji tumia hizo kunyolea hata upele hauwezi kupata.

Ila usinunue hizi za elfu 20 tenga budget kwanzia 60k+ unapata nzuri ambayo ukichaji mara moja unasahau kuna moja huwa naichaji mara moja inakaa miezi hata mitatu bila kuisha chaji.

Ila ukitumia hizi njia nyingine huwa naona zina outcomes mbaya sana hasa kutumia wembe na hizo poda
Nachukua mzee. Asante sana
 
Alama ya kuungua,miwasho mara chache sana maeneo ya shingoni,mkuu.
Okaaay basi sawa. Embu tujaribu mbinu hizi.

1. Kama pia unatumia kiwembe kushave acha mara moja. Ikiwa ni hiyo Magic powder pia acha mkuu.

2. Shave kwa mara ya mwisho halafu nenda kaoge, kisha tafuta jani la aloe vera likate, ule utomvu wake jipake eneo lote uliloshave. Usijaribu kutumia limao wala ndimu kupaka eneo hilo.

3. Pendelea kutumia sabuni za maji zenye sylic acid unapokwenda kuoga na uwe inaipaka kwa wingi eneo lako lililoathirika. Achana na powder wala rotion eneo ambalo limeathirika hasa uso wako ukiwa ni wa ngozi.

4. Kwenye mloa usisahau pia kutumia matunda mara kwa mara hasa parachichi na embe.

Kila la heri.
 
Okaaay basi sawa. Embu tujaribu mbinu hizi.

1. Kama pia unatumia kiwembe kushave acha mara moja. Ikiwa ni hiyo Magic powder pia acha mkuu.

2. Shave kwa mara ya mwisho halafu nenda kaoge, kisha tafuta jani la aloe vera likate, ule utomvu wake jipake eneo lote uliloshave. Usijaribu kutumia limao wala ndimu kupaka eneo hilo.

3. Pendelea kutumia sabuni za maji zenye sylic acid unapokwenda kuoga na uwe inaipaka kwa wingi eneo lako lililoathirika. Achana na powder wala rotion eneo ambalo limeathirika hasa uso wako ukiwa ni wa ngozi.

4. Kwenye mloa usisahau pia kutumia matunda mara kwa mara hasa parachichi na embe.

Kila la heri.
Mkuu nakushukuru sana,nilishaacha kutumia kama miezi miwili sasa. Nimekuwa mtumiaji wa shower jelly miaka mingi za lemon.🙏🙏
 
Okay, kuna hii dawa "MELANON X CREAM" inaweza kuwa msaada pia?
Ngozi ina tabia ya kujiponya yenyewe, ndo maana nikakushauri kwa kesi yako kitu cha kupaka kwa sasa tumia tu Aloe vera, Aloe vera ni natural na ina karibia ingredients zote.

Jipe muda bila kutumia cream/rotion. Mafuta ya nazi ni mazuri pia. Baada ya muda tafuta Nivea Luminous 630.
 
Ngozi ina tabia ya kujiponya yenyewe, ndo maana nikakushauri kwa kesi yako kitu cha kupaka kwa sasa tumia tu Aloe vera, Aloe vera ni natural na ina karibia ingredients zote.

Jipe muda bila kutumia cream/rotion. Mafuta ya nazi ni mazuri pia. Baada ya muda tafuta Nivea Luminous 360.
MKUU BARIKIWA SANA. JF NI SHULE 🙏🙏
 
Ndevu hata kunyolea kiwembe haitakiwi laa sivyo utazeeka kabla ya muda wako kama una ulazima wa kunyoa sana nunua cutting machine za ndevu za kuchaji tumia hizo kunyolea hata upele hauwezi kupata.

Ila usinunue hizi za elfu 20 tenga budget kwanzia 60k+ unapata nzuri ambayo ukichaji mara moja unasahau kuna moja huwa naichaji mara moja inakaa miezi hata mitatu bila kuisha chaji.

Ila ukitumia hizi njia nyingine huwa naona zina outcomes mbaya sana hasa kutumia wembe na hizo poda
Ushauri mzuri
 
Salam ndugu zangu wana jamvi.
Naombeni maarifa ya kuepukana na changamoto ya ugonjwa wa ngozi "MELASMA". Nimekuwa mtumiaji kwa zaidi ya miaka mitano (5) wa hii bidhaa ya MAGIC POWDER, ku-shave ndevu. Ila kwasasa imeniunguza sana mashavuni (usoni) na kifuani (wakati napaka ilikuwa inadondikea)
NATANGULIZA SHUKRANI,MWENYE KUJUA TIBA.
ASANTE 🙏
Yani kitu kikidhuru wewe basi ndio hakifai?Kuna mtu akila nyama ya kuku inamdhuru,mwingine akinywa maziwa yanamdhuru nk.Mimi mwaka wa 20 huu natumia magic powder na niko soft
 
Back
Top Bottom