Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
USITHUBUTU
KUTAZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI MASWALI MASWALI YANI NI STRESS TUPU!!
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Honey timu gani zinacheza leo?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Arsenal vs Manchester Utd```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: oooh safi sana, ninaipenda Arsenal.
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Drogba anacheza?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```
_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde.
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [kimya]
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: kwa hiyo akitoka nje anaenda kuwa kocha?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwa hiyo kadi nyekundu ni kama taa za barabarani.
#Njano=Onyo
#Nyekundu=Hatari
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.!!
%Mke: Vipi kuhusu kadi ya kijani
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko chereko*
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
KUTAZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI MASWALI MASWALI YANI NI STRESS TUPU!!
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Honey timu gani zinacheza leo?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Arsenal vs Manchester Utd```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: oooh safi sana, ninaipenda Arsenal.
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Drogba anacheza?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```
_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde.
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [kimya]
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: kwa hiyo akitoka nje anaenda kuwa kocha?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwa hiyo kadi nyekundu ni kama taa za barabarani.
#Njano=Onyo
#Nyekundu=Hatari
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.!!
%Mke: Vipi kuhusu kadi ya kijani
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?
[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko chereko*
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]