USITHUBUTU

USITHUBUTU

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
USITHUBUTU

KUTAZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI MASWALI MASWALI YANI NI STRESS TUPU!!

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Honey timu gani zinacheza leo?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Arsenal vs Manchester Utd```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: oooh safi sana, ninaipenda Arsenal.

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Drogba anacheza?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```

_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde.

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [kimya]

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: kwa hiyo akitoka nje anaenda kuwa kocha?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwa hiyo kadi nyekundu ni kama taa za barabarani.
#Njano=Onyo
#Nyekundu=Hatari

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.!!

%Mke: Vipi kuhusu kadi ya kijani

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko chereko*

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ha ha ha hapo mimi nishapiga na ngumi tv maswali kama polisi.. aghrrrrrrrrr inaboa
 
hahahahahaha. . ila huu utani wa ngumi hata kama ni kujifunza
 
USITHUBUTU

KUTAZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI MASWALI MASWALI YANI NI STRESS TUPU!!

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Honey timu gani zinacheza leo?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Arsenal vs Manchester Utd```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: oooh safi sana, ninaipenda Arsenal.

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Drogba anacheza?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```
sasa hapo si kuangalia mechi bali ni kumfundisha kinachofanyika uwanjani......na kwa hasira ya kufungwa unaweza kumtwanga ngumi kwa hasiraaaaaa....pasipo kutegemea , afu jamaa mwenyewe mvumilivu kwelikwel
[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```

_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde.

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [kimya]

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: kwa hiyo akitoka nje anaenda kuwa kocha?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwa hiyo kadi nyekundu ni kama taa za barabarani.
#Njano=Onyo
#Nyekundu=Hatari

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.!!

%Mke: Vipi kuhusu kadi ya kijani

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```

[HASHTAG]#Mke[/HASHTAG]: Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?

[HASHTAG]#Mume[/HASHTAG]: [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko chereko*

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Achilia mbali kuangalia mechi na mke wangu...series ikimpita kidogo uje utamsimulia mwanzo mpaka mwisho..ni kero aisee,.
 
Back
Top Bottom