physioplus dar
Member
- May 15, 2019
- 69
- 23
UNA MAUMIVU YA VIUNGO???
NA UNATUMIA DAWA HAUPONI?
Yawezekana kabisa unatibu DALILI kuliko chanzo cha tatizo hilo.
MAUMIVU ni matokeo ya athari ambayo imetokea katika msuli,mfupa,mshipa wa fahamu,sehemu ya ubongo na mengineyo.
Pindi matokeo haya yapotokea huashiria tatizo sehemu husika . na taarifa hutumwa mara moja kwenda kwenye ubongo ili kulitambua tatizo limetokea sehemu gani na kwa kiasi gani?. Taarifa hizi za tatizo hutafsiriwa na ubongo na kuleta hisia za maumivu sehemu husika mfano shingo,mgongo,mkono ,magoti,miguu.
wengi hukimbilia kumeza dawa kwanza kuondoa maumivu na bila kutambua maumivu hayo yanasababishwa na nini?
Hii hupelekea kulipa tatizo nafasi ya kukua na kusababisha madhara zaidi.
Pamoja na kupata madhara ya dawa husika.
EPUKA KUNYWA DAWA ZA MAUMIVU BILA KUPATA USHAURI/UCHUNGUZI WA DAKTARI
kwa ushauri wa bure wasiliana nami kupitia
0718 22 48 40
NA UNATUMIA DAWA HAUPONI?
Yawezekana kabisa unatibu DALILI kuliko chanzo cha tatizo hilo.
MAUMIVU ni matokeo ya athari ambayo imetokea katika msuli,mfupa,mshipa wa fahamu,sehemu ya ubongo na mengineyo.
Pindi matokeo haya yapotokea huashiria tatizo sehemu husika . na taarifa hutumwa mara moja kwenda kwenye ubongo ili kulitambua tatizo limetokea sehemu gani na kwa kiasi gani?. Taarifa hizi za tatizo hutafsiriwa na ubongo na kuleta hisia za maumivu sehemu husika mfano shingo,mgongo,mkono ,magoti,miguu.
wengi hukimbilia kumeza dawa kwanza kuondoa maumivu na bila kutambua maumivu hayo yanasababishwa na nini?
Hii hupelekea kulipa tatizo nafasi ya kukua na kusababisha madhara zaidi.
Pamoja na kupata madhara ya dawa husika.
EPUKA KUNYWA DAWA ZA MAUMIVU BILA KUPATA USHAURI/UCHUNGUZI WA DAKTARI
kwa ushauri wa bure wasiliana nami kupitia
0718 22 48 40