Usitilie maanani maneno ya Mwanamke yoyote isipokuwa yanayohusiana na Uchumi tu

Usitilie maanani maneno ya Mwanamke yoyote isipokuwa yanayohusiana na Uchumi tu

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Nilichojifunza.

Mwanamke ni mtu mzuri sana. Na ndo wanaokamilisha mwanaume. Mwanamke na Ua na mambo mengine mazuri.

Ila Usifanyie kazi maneno ya Mwanamke bila kufanya uchunguzi wako wa kina. Hata akiongea huku analia, hata aongee huku amegalagala chini.

Ukitaka uishi na watu vizuri, iwe ndugu, marafiki, jamaa, na Mungu. Mpuuze mwanamke kwa Umbea wowote atakao kuletea hata kama unaendana na ukweli. Puuza.

Akimuambia sema sawa wala usimhoji sababu mtagombana na kukwaruzana. Wewe muitikie sawa kila anachosema lakini usifayie kazi.

Ila akikushauri kuhusu swala la fedha(Uchumi) Msikilize na mzingatie.

Utaishi maisha ya furaha sana. Wanawake ni waongo, utaamini siku ukigundua uongo wao. Ishi nao kwa akili kubwa tena uwe makini kama unacheza draft. Hata akicheka waza mara mbili kwani anacheka. Akilia ndo kwanza usimsikilize kabisa.

Huu ni Ushauri nakupa wewe mwanaume. Hutaki unaacha.

Utanikumbuka.
 
Vijana wa 2000 hawa wanawake wata watoa roho , ukifikiri kiuanaume utagundua unaogopa kivuli chako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom