Usitoe mahari, epuka mila potofu

Usitoe mahari, epuka mila potofu

Hapa umepuyanga leo MAHALI siyo kuuza Bali ni mpango dhabiti ili mwanaume ajue kuwa huyo mkewe hakutokea tu from no where Kuna watu walipigana mpaka kufikia hapo alipo .

Kumlea mtoto wa kike na kufikia hatua akaonwa na kufaa kuwa mke siyo jambo la lelemama na dogo

Mahali ilipwe hii pia inadhihirisha kama wazazi hawamtaki mwanaume wanaweka mahali ya juu ashindwe ili aolewe na mwingine basi


Vijana lipeni mahali mke asiyelipiwa mahali ni mwepesi sana na hata ukweni mume asiyelipa mahali ni mwepesi mno

Lipa mahali jipe daraja la juu

Mke siyo bidhaa kama bidhaa zingine ila ni bidhaa Bora Kwa matumizi
Kwani na wewe mwanaume umetokea from no where mpka ukaenda kupangiwa hela ya kutoa, na bado utaendelea kuwatunza,kama mahari ni kwajili ya kulipa fadhila za kutunziwa binti kwani mwanaume hakutunzwa na wazazi,huko india wanaume wanalipiwa mahari
 
Hata bilioni moja haiwezi kununua mtu.
Ila binadamu ananunulika/ananunuliwa ndio kama hao wanawake wanaonunuliwa, watumwa walinunuliwa kwa sababu hawakuhesabika kama Watu.

Mtu huwezi mtolea mahari. Ila binadamu unamtolea tuu kwa sababu binadamu akikosa utu sio mtu tena bali mnyama, na anaweza kuuzwa kwa bei yoyote tuu.
Hata gari linaweza kuwa na thamani kuliko binadamu
Hata siwezi kubishana na ww
Inaonekana somo la afya ya akili linahitajika kwako.
 
Hata siwezi kubishana na ww
Inaonekana somo la afya ya akili linahitajika kwako.

Ni kawaida ya wabongo kufuata mkumbo. Sidhani hata kama unajua jinsi akili na mfumo wa fahamu unavyofanya kazi.
Ninyi mkiambiwa afya ya akili mnarukia mambo kwa sababu ya ujinga mlionao.

Mtu akikuambia kukeketwa sio vizuri pia utasema anahitaji somo la afya ya akili.
 
Toa mahari acha janja janja kama ni mila potofu mbona mpaka leo unatumia ubin wa babu yako kwenye vyeti vyako kwann usiseme alishakufa uachane nao huo ubini wake Tumelithishwa Tuwalithishe
 
Toa mahari acha janja janja kama ni mila potofu mbona mpaka leo unatumia ubin wa babu yako kwenye vyeti vyako kwann usiseme alishakufa uachane nao huo ubini wake Tumelithishwa Tuwalithishe

Unauhakika natumia ubin wa babû yangu?
 
Back
Top Bottom