usiuamini msemo: wa kutoa ni moyo maana ndo utawapeleka watu wengi motoni,

usiuamini msemo: wa kutoa ni moyo maana ndo utawapeleka watu wengi motoni,

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
yaani asikudanganye mtu eti kutoa ni moyo, hapana, narudia tena hapana, kutoa ni kujilazimisha bila kujilazimisha huwezi kutoa,

Mimi nilikuwa na rafiki yangu alikuja akiwa na shida ya simu yake mbovu lakini kwa kipindi kile ilikuwa ni masika kwahiyo isingewezekana yeye kupata simu kwa wakati ule,

nili chukua simu yangu mfukoni nikatoa lini zangu nikaweka za kwake nikampa hakuamini macho yake nikamwambia chukua katumie Mimi ntaenda weka line kwenye simu ya mke wangu,

yaani kiujumla ni lazima wakati unatoa roho yako iumie ndio utapata baraka bila kuumia maana yake umetoa kisicho na thamani kwako, japo kinaweza mfaa mwingine ila Mimi nazungumzia kwa wale wanaoamini katika mungu,

mfano yesu aliumia ili wakristo wapete furaha.
 
A
yaani asikudanganye mtu eti kutoa ni moyo, hapana, narudia tena hapana, kutoa ni kujilazimisha bila kujilazimisha huwezi kutoa,

Mimi nilikuwa na rafiki yangu alikuja akiwa na shida ya simu yake mbovu lakini kwa kipindi kile ilikuwa ni masika kwahiyo isingewezekana yeye kupata simu kwa wakati ule,

nili chukua simu yangu mfukoni nikatoa lini zangu nikaweka za kwake nikampa hakuamini macho yake nikamwambia chukua katumie Mimi ntaenda weka line kwenye simu ya mke wangu,

yaani kiujumla ni lazima wakati unatoa roho yako iumie ndio utapata baraka bila kuumia maana yake umetoa kisicho na thamani kwako, japo kinaweza mfaa mwingine ila Mimi nazungumzia kwa wale wanaoamini katika mungu,

mfano yesu aliumia ili wakristo wapete furaha.
Aisee
 
Kutoa ni Moyo una maana pana sana Mkuu,wanaotoa wote sio wenye mali nyingi ni kwamba wana moyo wa kutoa kwa sababu unaweza ukawa na Mali nyingi na hata usitoe si umeona hapo ulitoa line zako kwa Moyo wote ukaweka mfukoni bila kuwa na Moyo hup usingetoa hata ungekua na simu kumi...
 
Kutoa ni Moyo una maana pana sana Mkuu,wanaotoa wote sio wenye mali nyingi ni kwamba wana moyo wa kutoa kwa sababu unaweza ukawa na Mali nyingi na hata usitoe si umeona hapo ulitoa line zako kwa Moyo wote ukaweka mfukoni bila kuwa na Moyo hup usingetoa hata ungekua na simu kumi...
hapana mkuu moyo ulikuwa unasita kutoa ila akili yangu ikaulazimisha maana hata hivo niliumia maana ndo simu tu hiyo nikikuwa nayo ila baada ya jamaa kunishukuru kila wakati ndo nilianza iona furaha
 
hapana mkuu moyo ulikuwa unasita kutoa ila akili yangu ikaulazimisha maana hata hivo niliumia maana ndo simu tu hiyo nikikuwa nayo ila baada ya jamaa kunishukuru kila wakati ndo nilianza iona furaha
OK sawa Mkuu umefanya jambo jema sana...
 
yaani asikudanganye mtu eti kutoa ni moyo, hapana, narudia tena hapana, kutoa ni kujilazimisha bila kujilazimisha huwezi kutoa,

Mimi nilikuwa na rafiki yangu alikuja akiwa na shida ya simu yake mbovu lakini kwa kipindi kile ilikuwa ni masika kwahiyo isingewezekana yeye kupata simu kwa wakati ule,

nili chukua simu yangu mfukoni nikatoa lini zangu nikaweka za kwake nikampa hakuamini macho yake nikamwambia chukua katumie Mimi ntaenda weka line kwenye simu ya mke wangu,

yaani kiujumla ni lazima wakati unatoa roho yako iumie ndio utapata baraka bila kuumia maana yake umetoa kisicho na thamani kwako, japo kinaweza mfaa mwingine ila Mimi nazungumzia kwa wale wanaoamini katika mungu,

mfano yesu aliumia ili wakristo wapete furaha.
Huwezi kutoa usicho nacho. Hivyo kutoa ni kujiweza au kuwa na nafasi, ila zaidi, kutoa ni kujali (tunayoita "moyo"). Inawezekana ikakuuma, ila umemjali mwenye uhitaji.
 
hapana mkuu moyo ulikuwa unasita kutoa ila akili yangu ikaulazimisha maana hata hivo niliumia maana ndo simu tu hiyo nikikuwa nayo ila baada ya jamaa kunishukuru kila wakati ndo nilianza iona furaha
Iliyosita ni akili au mawazo yako, ila utashi wako, ulipelekea kufanya lililo jema, kusaidia.
 
Back
Top Bottom