Usiue huyu mdudu Kwa mikono yako

Usiue huyu mdudu Kwa mikono yako

EVIGT

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
526
Reaction score
415
Anaitwa Nairobi fly,

images (3).jpeg


Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters.

images (4).jpeg


Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa vidole vyako basi hii kemikali hubaki kwenye vidole vyako popote utakaposhika kwenye mwili wako basi pata ungua ndani ya saa 24,
Vipele vyenye mchanganyiko wa maji maji na usaha vitajitokeza ndani ya saa 24,
Mdudu huyu Kwa kawaida hukaa mashambani chakula chake ni crop pests ila huja kwenye mazingira ya binadamu Kwa kuvutiwa na mwanga wa taa.
Huzaliana zaidi nyakati za mvua.

Pederin
Kwa sasa tafiti zinaonyesha kemikali hii ni muhimu Kwa kupunguza makali ya saratani na huenda ikatumika kutengeneza dawa Kwa magonjwa ya saratani.

Experience
Nilikutana na visanga vya huyu mdudu huko Arusha, wapo wengi sana, nilishuhudia mwanafunzi aliyemsaga huyu mdudu Kwa peni then akajisahau Ile peni akapeleka mdomoni, kilichomtokea kesho yake ni huruma tupu.
Tupe experience yako!!!

Reference
Narquizian R, Kocienski PJ (2000). "In The Role of Natural Products in Drug Discovery"
 
Anaitwa Nairobi fly,

View attachment 3242615

Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters.

View attachment 3242616

Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa vidole vyako basi hii kemikali hubaki kwenye vidole vyako popote utakaposhika kwenye mwili wako basi pata ungua ndani ya saa 24,
Vipele vyenye mchanganyiko wa maji maji na usaha vitajitokeza ndani ya saa 24,
Mdudu huyu Kwa kawaida hukaa mashambani chakula chake ni crop pests ila huja kwenye mazingira ya binadamu Kwa kuvutiwa na mwanga wa taa.
Huzaliana zaidi nyakati za mvua.

Pederin
Kwa sasa tafiti zinaonyesha kemikali hii ni muhimu Kwa kupunguza makali ya saratani na huenda ikatumika kutengeneza dawa Kwa magonjwa ya saratani.

Experience
Nilikutana na visanga vya huyu mdudu huko Arusha, wapo wengi sana, nilishuhudia mwanafunzi aliyemsaga huyu mdudu Kwa peni then akajisahau Ile peni akapeleka mdomoni, kilichomtokea kesho yake ni huruma tupu.
Tupe experience yako!!!

Reference
Narquizian R, Kocienski PJ (2000). "In The Role of Natural Products in Drug Discovery"
Anaitwa Narrow bee fly.
 
Anaitwa Nairobi fly,

View attachment 3242615

Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters.

View attachment 3242616

Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa vidole vyako basi hii kemikali hubaki kwenye vidole vyako popote utakaposhika kwenye mwili wako basi pata ungua ndani ya saa 24,
Vipele vyenye mchanganyiko wa maji maji na usaha vitajitokeza ndani ya saa 24,
Mdudu huyu Kwa kawaida hukaa mashambani chakula chake ni crop pests ila huja kwenye mazingira ya binadamu Kwa kuvutiwa na mwanga wa taa.
Huzaliana zaidi nyakati za mvua.

Pederin
Kwa sasa tafiti zinaonyesha kemikali hii ni muhimu Kwa kupunguza makali ya saratani na huenda ikatumika kutengeneza dawa Kwa magonjwa ya saratani.

Experience
Nilikutana na visanga vya huyu mdudu huko Arusha, wapo wengi sana, nilishuhudia mwanafunzi aliyemsaga huyu mdudu Kwa peni then akajisahau Ile peni akapeleka mdomoni, kilichomtokea kesho yake ni huruma tupu.
Tupe experience yako!!!

Reference
Narquizian R, Kocienski PJ (2000). "In The Role of Natural Products in Drug Discovery"

Kwa nini umuue? Wala usiwafundishe
 
Aka kamdudu ni kamzozo lkn reaction yake si kwa watu wote... sisi uku tunakaishi nako na hana madhara yeyote!!! Ila nilishuhudia kimbembe chake nilipokuwa Moshi Tech.... aiseeeh watu walichakazwa sana na alikuwa akipendelea sehemu nyeti, mfano macho, masikio, shingo nk!!!
 
Back
Top Bottom