Usivae nguo ya ndani ewe mwanamke, utapata tabu sana

Usivae nguo ya ndani ewe mwanamke, utapata tabu sana

Uwiiii hivi kuna watu kumbe wakiwa mwezini wanapata hamu? Mimi hazipogo kabisa ha ha ha
Halafu mtu ukiwa period jinsi nyege zinasumbua dah ukiweka kitu humor ndani unaweza kukata kiuno barabarani kwa utamu atii
 
Bila shaka utakua na mzigo wa haja, hao wasiovaa vyupi ni wale waliopigwa pasi mara nyingi wanakosa size zao au vyupi vinatepeta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo zina wapelepweta? haaaa haaaa
 
Zipo pedi za kubandika kwenye k. Haihitaji chupi.

Kwani hizo manzi anaweza kuzivaa hata akiwa kwny zile siku za kwanza ambako flow inakua kubwa?

Coz hizo za kuchomeka kwny K naona wanazivaa huko kwny ma swimming pools lkn wakiwa kwny siku zao zile za mwisho mwisho(flow ikiwa ndogo)
 
Halafu mtu ukiwa period jinsi nyege zinasumbua dah ukiweka kitu humor ndani unaweza kukata kiuno barabarani kwa utamu atii
Miss jamani!!! Afya iko vibaya hapa ila nimejikuta nacheka kwa maneno yako
 
Back
Top Bottom