wakat naendelea kukata gogo kama unavyoelewa uswahilini tena bonge la folen watu wanapiga kelele unatuchelewesha w ganataka kuwahi kazini wengine wanatukana mm kama siwasikii ndio naziid kuwadharau taratiib nadondosha gogo moja moja mpaka wakakoma nilipomaliza nkakata vipande vipandenkaviondoa barabaran maana barabara ilikua imeziba wakapita. na magar yao.
dah uliwaza nini mkuu