usiwaze

usiwaze

sajumo

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
1,834
Reaction score
1,055
wakat naendelea kukata gogo kama unavyoelewa uswahilini tena bonge la folen watu wanapiga kelele unatuchelewesha w ganataka kuwahi kazini wengine wanatukana mm kama siwasikii ndio naziid kuwadharau taratiib nadondosha gogo moja moja mpaka wakakoma nilipomaliza nkakata vipande vipandenkaviondoa barabaran maana barabara ilikua imeziba wakapita. na magar yao.
dah uliwaza nini mkuu
 
Back
Top Bottom