Lizzy,
Kila jambo lina chimbuko lake ila siyo kila kitu kinawezekana na hasa hasa kama kiini cha tatizo hakifahamiki.
Bahati mbaya hakuna formula moja inayokubalika katika kuendesha maisha yetu ya kila siku. Wapo waliosubiri na matatizo yakaisha ila pia wapo waliosubiri na kupoteza maisha kabisa. Auntie yangu ni mmoja wapo.
Tatizo kubwa ni kwamba watu wengi wanakosa ushauri nasaha ili wapate ujasiri wa kuamua na kutenda. Sina hakika wewe mwenyewe mdogo wangu Lizzy uko upande gani. Hata hivyo ni ngumu kutabiri hatua gani unaweza kuchukua hadi masahibu yenyewe yakufike.
Namshukuru Mungu bado nadunda na na-enjoy game ya maisha!
Ha ha ha Lizzy bana umeamua kunichana live (tangu nikupe story ya shem wako vile ananinyanyasa na nashindwa kumwacha).
Kuacha/kuachwa pale unapopendwa/unapopenda ni shughuli pevu aisee
Babu sidhani kama mtu akiwa na kasoro ndo anastahili kunyanyaswa!!!Mtu ambae anakukomoa kwa kwenda nje...kukupiga...kukutusi...kukudharau eti kwasababu una kasoro sio mtu anayekufaa.Mtu mzuri ni yule atakaejaribu kukurekebisha kama inawezekana au kukuvumilia kama haiwezekani.
Binafsi sijasema wala siwezi kusema ni rahisi kuamua tu kwamba naondoka....ila haina maana kwamba HAIWEZEKANI or it shouldn't be done!!
Mtu wangu wa karibu yalimkuta...alidanganywa akadanganywa na kudanganywa zaidi na akavumilia.Hapo ni baada ya kumtunza huyo mnaume kwa zaidi ya miezi sita baada ya kupata ajali.Shukrani yake ilikua hiyo.Kama mnavyosema maamuzi yanatakiwa kutoka kwa mtu binafsi nakubaliana na nyie....ila wakati mwingine inabidi mhusika asukumwe kidogo ili apate ujasiri.Mwanzoni sikutaka kuingilia mpaka alipokuja kumsukuma kwenye ngazi mdada akiwa mjamzito wa miezi mitano....nusu saa baadae alikua anatokwa na damu bila kikomo na maumivu yasiyoelezeka juu.Pale sasa ndio ulikua muda sahihi wa kumuonyesha kwamba kwa kujidanganya anamvumilia ampendae HAJITENDEI YEYE HAKI maana hasara atakayopata itakua juu yake yeye na sio huyo mwanaume.Ingetokea akafa huyo mwanaume angepata mwingine tu....ila yeye asingezawadiwa maisha mengine kwa uvumilivu wake.....wala ndugu zake tusingezawadiwa ndugu mwingine!!!Nashukuru Mungu alipata ujasiri wa kuachana nae maana kwa kuendelea kuwepo inawezekana leo hii ningekua nahadithia kitu tofauti kabisa.
Upande niliopo mimi ni kama nilivyoelezea tangu mwanzo.VUMILIA ndio ila ikishafika kile kipindi ambacho WEWE MKOSEWAJI NDO MBEMBELEZAJI jua muda wa mahusiano yenu yameisha!!Au kaa ukisubiria kifo iwe ni cha magonjwa au kipigo....kuchanganyikiwa na kuishi kama zombie!!!Ila kumbuka HUJITENDEI HAKI maana wewe ndo unatakiwa kufanya maamuzi juu ya maisha yako.
Lizzy,
Mama watoto wangu huwa anao usemi maarufu sana, naomba nimnukuu:
"..Mimi nilikuja kuolewa, sikuja kutembea.." mwisho wa kunukuu.
Kuna wanawake wengi wapo kwenye mahusiano kwa "dhati", no matter what!!!!
Hahahahah.....bora nikubembeleze ukilia sasa hivi kuliko kulia ukitutoka!!!!
( Yani sitoacha upumzike mpaka uachane nae....alafu ikibidi utamwacha hata kwa lazima....hakufai kabisa huyo!! )
Lizzy,
Mama watoto wangu huwa anao usemi maarufu sana, naomba nimnukuu:
"..Mimi nilikuja kuolewa, sikuja kutembea.." mwisho wa kunukuu.
Kuna wanawake wengi wapo kwenye mahusiano kwa "dhati", no matter what!!!!
aya maneno unauza sh ngap?
nataka niyanunue jaman km ntaweza
umesema kweli
tangu mwanzo umenena kweli
pipo waache uwoga
utakiwi sepa fasta utapata mwingne nje atakupenda iweje ujifungie jela wakat kuna hotel ya movenpik inakusubiri apo nje?
lizzy mwaya umeongea kweli
nkwambia i like liberal style of living...unanipenda poa unipend nasepa full stop
mambo ya kuota mvi na miaka 30 sjui 27 yahuu?
yaan maisha ya siku izi inabidi tutembee na kitufe cha DELETE,UN DO au CANCEL ili kuepuka karaha na mishtuko ya moyo na mbavu km drama zenyewe zilivyo!!!
Ni kweli Maty, hii kitu si rahis kama anavyosema Lizzy. Katika theory yuko sahihi. Ila katika utekelezaji sina hakika hata kama yeye mwenyewe angeweza kufanya hivyo haraka. Dalili za mtu wa hovyo huwa ziko wazi ingawa watu wengi hujipa Moyo kwamba Mungu atatenda miujiza. Madhara ya kuishi na viroba vya namna hiyo ni makubwa sana. Auntie yangu aliuawa na mume wake aliyemtandika kwa nguvu sana siku kama 5 hivi baada ya kujifungua!
Laiti mawazo ya Lizzy yangekuwa yanatekelezeka, watu wengi wangeishi kwa amani saaaana!!
tangu ukuwe karib na mimi umekuwa na sredi za maana kweli lizzy. ving'ang'anizi hawakubaliki . full stop.
thread closed.
Yaani nahisi kama ni mimi vile, kuacha mtu sio rahisi liz yaani hasa kama umekulia familia watu wote wako na waume/wake zao. tatizo letu waafrica we believe in family inakuwa ngumu kwenda kuanzisha family na mtu mwingine,pia ile assurance kwamba nikitoka huyo mwingine nae atkuwa perfect?? au ndio kuruka mkojo kukanyaga m...???hapo ukifikiria mara mbili unatuliza ****** chini aisee.
Ni ushauri mzuri ila unataka ushujaa na ukakamavu. kuacha mke/mume ni shughuli pevu
Hahahahah.....bora nikubembeleze ukilia sasa hivi kuliko kulia ukitutoka!!!!
( Yani sitoacha upumzike mpaka uachane nae....alafu ikibidi utamwacha hata kwa lazima....hakufai kabisa huyo!![/COLOR] )
1 in milion
punguza drama na wewe ili mkeo aseme...MIMI NILIKUJA KUENJOY MAISHA NA KULEA WATOTO NA WEWE NA SIYO KULIZWA DAILY...
nawasilisha.:lol:
I've come to realize kuwa wanawake wengi ni either "wamelizwa" au ni wako njiani "kulizwa"!
Yaani nahisi kama ni mimi vile, kuacha mtu sio rahisi liz yaani hasa kama umekulia familia watu wote wako na waume/wake zao. tatizo letu waafrica we believe in family inakuwa ngumu kwenda kuanzisha family na mtu mwingine,pia ile assurance kwamba nikitoka huyo mwingine nae atkuwa perfect?? au ndio kuruka mkojo kukanyaga m...???hapo ukifikiria mara mbili unatuliza ****** chini aisee.
Ni ushauri mzuri ila unataka ushujaa na ukakamavu. kuacha mke/mume ni shughuli pevu
1 in a million? You are not serious and I'm assuming "umeachika" au uko njia moja!
Wanawake wenye HEKIMA na BUSARA hawakimbii ndoa zao! Labda yale "manungayembe" by default.. Mwanamke anapoingia kwenye mahusiano kwa hisia za "ku-enjoy" huyo hafai ni wa kuepuka mapema kabla ya kusimama altare!