Usiwe king'ang'anizi...soma alama za nyakati!!



LAKINI LIZZY - SUPPOSE MMEJENGA NYUMBA WOTE - MNAISHI PAMOJA - HALAFU ANAANZA VISA - YAANI UTOKE UMWACHE AKAE KWA RAHA ZAKE NA AMLETE MWINGINE NYUMBANI KWAKO??? SOMETIMES NDIO MAANA INAKUWA NGUMU - IMAGINE UNAENDA KUPANGA???

MIE NAONA AFADHALI KAMA ANAFANYA VISA NA KWA VILE KAKUCHOKA - ATOKE YEYE ............ UNAWEZA KUSEMA MUUZE MGAWANE - SUPPOSE ANAKATAA????

KUNA FACTORS NYINGI SANA ZA KUANGALIA

hayo ni mawazo yangu tu
 
Ndo maana kuna sheria na mahakama mpendwa..Yatima!Kama nyumba ni mali yenu na imeandikishwa kisheria itauzwa mgawane au mmoja amlipe mwingine shea yake alafu yeye anabaki na nyumba!Tatizo ni kwamba wapo wengi wanaokuta mwanaume ameshajenga kwahiyo yeye anahamia tu..hapo hata wakati mwingine mwanaume anadiriki kumwambia mwanamke atulie maana yupo kwake!Nwyz ndo maana kila siku tunaimbiwa tujitume!Ukiwa na vijicent vyako unaondoka na kutengeneza maisha yako!
 
Alafu usisahau kwamba kuna wanaume wasio na aibu anaweza kukuletea mwanamke humo humo ndani!
 


wanaish kwa mazoea awaish kwa kusoma nyakat
 
Tukutane pale chini ya mwembe kabla hujanikaribisha ghetto kwako na kuninunulia simu mpya niachane na mChina!
hehehe CPU akiwa hayupo unakuwa unaongea kijitu kizima kweli wewe. halaf leo nimemind kuchunwa kweli. mwaga menu dada. yaani hapa mambo ya fedha ni kama kuleft click mouse tu
 
hehehe CPU akiwa hayupo unakuwa unaongea kijitu kizima kweli wewe. halaf leo nimemind kuchunwa kweli. mwaga menu dada. yaani hapa mambo ya fedha ni kama kuleft click mouse tu

Ahh una pesa gani na wewe?Walio nazo hawaulizi unataka kiasi gani...wanatoa tu!Alafu mwache Sipiyu!
 
Ahh una pesa gani na wewe?Walio nazo hawaulizi unataka kiasi gani...wanatoa tu!Alafu mwache Sipiyu!
nikiamua kuzuia share yangu kwa serikali nina hakika viwango vya mishahara TZ vitashuka. jarib kuwa karib sana na mimi kwa mafanikio yako ya baadae.
 
Wanavumilia eti Lizzy,labda atabadilika. Wanakufa kisabuni.
 
nikiamua kuzuia share yangu kwa serikali nina hakika viwango vya mishahara TZ vitashuka. jarib kuwa karib sana na mimi kwa mafanikio yako ya baadae.
Mafanikio ya baadae nnayo mimi wewe!Au unataka ukininyanyasa na mimi nivumilie kwasababu wewe ndo unanipa kula?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…