Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
-
- #41
Mimi kazi yangu hapa ni kufungua code wanaume wazitoe akili nje ya matrix na kuona uhalisia, ukiamua kunywa redpill au bluepill then you are the one will face consequencesSio wote usijidanganye
😁😁😁😁 ni utani tu mkuu don't take things too much seriousKwa hiyo kama hana ajira ndio ubongo wake haufanyi kazi?
Mkishatendwa na tudemu twenu na utotoni basi mnakuja kujifanya watafiti wa masuala ya mapenzi na suluhu ni kutowahudumia wanawake .oooops .
Nitaendelea kuwahonga niwezavyo kikubwa napata haja zangu ,hayo mengine ya kutendwa nishayazoea na nimejifunza hata kwa Kaka Samson kwenye kitabu Cha wakristu
Na hiki ndicho wako vizuri nacho nowadays, wanaona wivu wakiona mademu wanahongekaBasi wawekeze kwa wanaume wenzao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inasikitisha lakini kama ni mwanao mara moja moja jaribu kumsanua.Hapa ninapoishi kuna shule ya serikali ya ghorofa inajengwa sasa fundi mmoja jana nikamsikia "mm bora nihonge ndo napata nguvu kubwa ya kufanya kazi lkn nikishanunua kile nikipendacho nitakua nimejiridhisha mwenyewe tu"
Nikasema hizi ndo akili za watz jamaa anapigika kule na jua na misumari na mazege halafu anawaza kuhonga hivi ss watz tukoje jmni?
Kwa kweliiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hiki ndicho wako vizuri nacho nowadays, wanaona wivu wakiona mademu wanahongeka
Dadeki we boya pamoja na kukopea mshahara wako wote kwa huyo ajuza wako na bado akakuacha solemba na kuolewa huko tabora bado akili haijakukaa sawa......Mkishatendwa na tudemu twenu na utotoni basi mnakuja kujifanya watafiti wa masuala ya mapenzi na suluhu ni kutowahudumia wanawake .oooops .
Nitaendelea kuwahonga niwezavyo kikubwa napata haja zangu ,hayo mengine ya kutendwa nishayazoea na nimejifunza hata kwa Kaka Samson kwenye kitabu Cha wakristu
Wewe na uyo mwizi mwenzako hamna hoja mnaandika upumbavu tu hapaNa hiki ndicho wako vizuri nacho nowadays, wanaona wivu wakiona mademu wanahongeka
Huwa na kupinga kwa mambo mengi ila kwa hili hata mimi umenisanua...ukweli mtupu...Kitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.
Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.
Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.
Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.
Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.
I love you, i love you my brother.
Small scale investiment nayo pia ni uwekezaji. Hizo buku buku si mpaka uwe nazo?Hivyo vya kuwekeza vyenyewe unavyo? Au hizo buku buku za vocha ndio unaona uwekezaji
Kuona wivu wala si dhambi na si kinyume na sheria ya nchi ila taratibu tunaendelea kusanuka..........hakika nakwambia wanawake watateseka sana huko mbeleni ikiwa wanaume wote watasanuka......huu mfumo wa 50/50 naomba uendelee kupewa mileage ndo unaelekea kumkomboa mwanaume.Na hiki ndicho wako vizuri nacho nowadays, wanaona wivu wakiona mademu wanahongeka
Bilgates kiko Wapi?Sio wote usijidanganye
Buku buku pia ni hela kwasababu huwezi kuwa na million au laki bila kuwepo na buku ndani yakeHivyo vya kuwekeza vyenyewe unavyo? Au hizo buku buku za vocha ndio unaona uwekezaji
Usually they aim to gain somethingThe study reveals that about 80% of divorces all over the world are initiated by women because most of them have nothing or very little to lose in separation.
Atakuwa mtu wa ccm huyu.Hapa ninapoishi kuna shule ya serikali ya ghorofa inajengwa sasa fundi mmoja jana nikamsikia "mm bora nihonge ndo napata nguvu kubwa ya kufanya kazi lkn nikishanunua kile nikipendacho nitakua nimejiridhisha mwenyewe tu"
Nikasema hizi ndo akili za watz jamaa anapigika kule na jua na misumari na mazege halafu anawaza kuhonga hivi ss watz tukoje jmni?
MImi huwa naongea facts, ndio maana ninayoyaongea tunayaona au yapo njiani kufika., wanaonipinga mara nyingi ni wale ambao wanatetea maamuzi yao mabovu ambayo hawataki kukubali kwamba wamekosea.Huwa na kupinga kwa mambo mengi ila kwa hili hata mimi umenisanua...ukweli mtupu...
Wanawekeza hisia tu, mara i love you ooh nimekuzalia
Cc harmanizer vs Kajala.
Tumewashtukia.....mtakuwa mnapewa vya mwisho mwisho tu.Na hiki ndicho wako vizuri nacho nowadays, wanaona wivu wakiona mademu wanahongeka
✅ Wewe unastahili hata kuongoza jamiimimi nitawekeza kwa mke wangu, hata kama sitafaidi mimi kwa sababu labda kwa mabadiliko hayo uliyoyasema bado watoto wangu watafaidi mwanamke hawez kuwatupa watoto wake tofauti na mwanaume