SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Sawa, lakini vitalu vinauzwa wapi. Wamasai waondolewe wajenge mahoteli au mie peke yake naona na kusikia hivyo?Ngorongoro haiuzwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, lakini vitalu vinauzwa wapi. Wamasai waondolewe wajenge mahoteli au mie peke yake naona na kusikia hivyo?Ngorongoro haiuzwi
Ngorongoro haijawahi kuwa kitalu na haitokaa iwe kitaluSawa, lakini vitalu vinauzwa wapi. Wamasai waondolewe wajenge mahoteli au mie peke yake naona na kusikia hivyo?
Binafsi sina faida yoyote na yopata-Wenyewe Wamasai ndio wanataka hilo? kwa sababu wanazojengewa 'hasi' Kwa nini waburuzwe kwani hawana akili zao na wameishi miaka nenda rudi?Mnataka waendelee kuishi huko porini kama wanyama huku wakikosa huduma bora kwa faida zenu wenyewe hii sio sawa.
Waambie hawo CCM na vibaraka wao.Mnawatumia kama vyanzo vyenu vya mapato ya kitalii huku nyie mkinufaika na sio wao, hamna huruma kabisa nyie.
Kushindwa kwa serikali yao kupeleka huduma kwao na kuleta mbadala wa kuwahamisha kwa vigezo na sababu 'hasi' sio mbadala mzuri. Kwanza tunaaminishwa ni wakuja, watoka sudan hao sasa lipi ni lipi?Ni lazima waondoke huko ili Ngorongoro ibaki hai na wao wapate huduma muhimu kama Watanzania wengine.
Waulize CCMNgorongoro haijawahi kuwa kitalu na haitokaa iwe kitalu
Hayo mahoteli yatakuwa mangapi au ukubwa gani mpaka watu wengi waondolewe ?
Halafu waje wenye hela tu na kula bata kwa kigezo potofu. Hivi kulinda wanyama au hifadhi?Watu wanaondolewa ili kuilinda hifadhi.
Waulize CCMNgorongoro haijawahi kuwa kitalu na haitokaa iwe kitalu
Hayo mahoteli yatakuwa mangapi au ukubwa gani mpaka watu wengi waondolewe ?
Halafu waje wenye hela tu na kula bata kwa kigezo potofu. Hivi kulinda wanyama au hifadhi?Watu wanaondolewa ili kuilinda hifadhi.
Hakuna huduma yoyote muhimu inayoweza kupelekwa hifadhini, hivyo wanahamishwa kwa nia njema kabisa.Kushindwa kwa serikali yao kupeleka huduma kwao na kuleta mbadala wa kuwahamisha kwa vigezo na sababu 'hasi' sio mbadala mzuri. Kwanza tunaaminishwa ni wakuja, watoka sudan hao sasa lipi ni lipi?
Kula bata ndio maana ya utalii....na kinacholindwa ni hifadhi na wanyamaHalafu waje wenye hela tu na kula bata kwa kigezo potofu. Hivi kulinda wanyama au hifadhi?
Ni uvivu wa mtu mweusi tu, Lushoto milimani kuna vyanzo vingi vya maji, inawezekana kabisa ku pump maji kutoka Lushoto yafike Handeni. Lakini ni mpaka hili liwe kwenye ilani ya chama dola.handeni ni jangwa... maji toka enzi za wakoloni, ni jangwa. Unaukbuka mradi wa maji wa Handeni Trunk Main??? Wanakwenda kuumia pumbavu zao
tatizo linaanzia hapo, uvivu wa black skin!Ni uvivu wa mtu mweusi tu, Lushoto milimani kuna vyanzo vingi vya maji, inawezekana kabisa ku pump maji kutoka Lushoto yafike Handeni. Lakini ni mpaka hili liwe kwenye ilani ya chama dola.
watazaana kama kumbikumbi. Wanajari ng'ombe tu sio wanyama. For once, lets be sensibleHao unaodai waondolewe ndio walikuwa wanapigwa picha ili kuleta watalii, ili watu waje kutoka nje na kufika maeneo yao-wamehujumiwa sana sana-pale walipostukia na kudai maafa yao- wakapewa na masharti-moja yapo ambao bado mimi nitaita GENOCIDAL ni lile la kuacha kuwinda simba wakati vijana wao wanabalehe-
Vitabu, majarida, magazeti yameuza mbuga kwa sura ya MMasai. yeroo!
Ngozi ina majanga hii....tatizo linaanzia hapo, uvivu wa black skin!
Aluta ContinuaLukumay M. Sio mmasai! ni jina la Kimasai lakini huyu mtu hayuko huko na wala hatoki NGORONGORO
Kwa wale ambao walikuwa hawayajui- ya NGORONGORO ya "Lukumay .M"-sasa wanayajua
Kwa wale ambao wanayajua ya NGORONGORO hawaombwi kwa kuhadaa, kwa ulaghai, kwa kudumaza na uzandiki.
Ujumbe uwafikie.
"ACCEPTING OF LOSS COMPESATION ILLUSION"
ilikumhali
TAARIFA JUU YA SUALA LA KUHAMISHA WAFUGAJI WA JAMII YA MAASAI KATIKA HIFADHI YA NGORONGORO
Ahsante
Aluta Continua