Usiyoyajua Kuhusu Batuli

Yaah nakumbuka kwenye fake smile alikuwa tofauti sana na sasa....Anyways,ni maisha yake....ila amekuwa mwekundu sana...hizi cream wawe wanapaka kwa vipimo jamaniii......

Mambo ya dodo
 
Kiukweli pia mimi nlimpenda sana kwenye fake smile ila sasa anaringa mnoooo
 
Yaah nakumbuka kwenye fake smile alikuwa tofauti sana na sasa....Anyways,ni maisha yake....ila amekuwa mwekundu sana...hizi cream wawe wanapaka kwa vipimo jamaniii......
Ubaya wa cream haurudi nyuma unatakiwa uendelee kuipaka na ukiendelea ndo hvyo unakuwa mwekundu....nadhani aunt ezekiel hajaingia kwenye huu mkumbo...
 

Yah kuna watu wanapenda kujua haswa Mimi ni nani na Niko vipi, sio vibay watu kuelezea hisia zao kuhusu Mimi, japokuwa sina uhakika kama mtu ananifahamu au kuis kunifahamu, sio vibaya pia watu kutoa maoni yao.
 
Yah kuna watu wanapenda kujua haswa Mimi ni nani na Niko vipi, sio vibay watu kuelezea hisia zao kuhusu Mimi, japokuwa sina uhakika kama mtu ananifahamu au kuis kunifahamu, sio vibaya pia watu kutoa maoni yao.

.
Kuna thread siioni !
.
 

Uwiiiii mbona nimepitwaaa uzi ganii huo binamu nikashuhudieee uwe unanistua banaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…