Usiyoyajua kuhusu Hamisa Mobeto

Status
Not open for further replies.
Sema huyu mleta mada anasema atafanya mambo makubwa yapi ya kina mbuta nanga au yakina Wema hahaha time will tell.
 
Nadhani O-Level kasomea pande za Tandika manake nilikuwa namuona sana maskani wakati anapita kwenda skonga!
 
Sema huyu mleta mada anasema atafanya mambo makubwa yapi ya kina mbuta nanga au yakina Wema hahaha time will tell.

Mambo makubwa yakutembea na vigogo na watu maarufu
 
Nadhani O-Level kasomea pande za Tandika manake nilikuwa namuona sana maskani wakati anapita kwenda skonga!

Mmh mi nikajua toto la masaki shule kasoma academic int. Kumbebe tandika tena duh , ila watoto wa kiswazi wamejaliwa mienikano mizur, kama lulu ukimwona utasema toto la tajir kumbe umalaya ndo unamuweka mjini mmh kaz kwel kweli
 

Hahahaa haaaa

Atakuwa wa 90 mkuu 80 hapana dah
 

Huko insta anatumia jina gan na sie tuone hizo picha
 
Mm wa '95, nw nina miaka 19. Sa inakuaje mtu '94 awe na miaka 21. Huu ni uongo usiojificha kabisa
 
duuu basi mimi sikui wajameni! yan age mate analingana na mamang!!!!!
af nilisikia kwao hamisa mabovu vibayaaaa yani kunatisha lool(umbea kazini)
 
duuu basi mimi sikui wajameni! yan age mate analingana na mamang!!!!!
af nilisikia kwao hamisa mabovu vibayaaaa yani kunatisha lool(umbea kazini)

Ni kwel choka mbaya nashangaa kila siku anatupia picha za kwa watu badala apige kwao
 
next target in town...watammega pedeshee wamuache kachoka kama wenzie wanaojidai under 18..maanake sijawahi ona msanii amefanya birthday katimiza mika 25.kilamtu 18...
 
next target in town...watammega pedeshee wamuache kachoka kama wenzie wanaojidai under 18..maanake sijawahi ona msanii amefanya birthday katimiza mika 25.kilamtu 18...

Waache wadanganye umri tu lakini sura haziongopagi....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…