Usiyoyajua kuhusu Ikulu ya Marekani (white house).

Wewe ni Muongo sana. Winston Churchil alikuwa Rais wa nchi gani? Kwa nini wanakudanganya nawe unakuja kuwadanganya watu wenye akili zao?

Unam attact personal hiyo ni error typing tu .hizo fact nyingine yupo sahihi.hakuna aliyezaliwa anajua kaileta hapa ili alipokosea umrekebishe na sio kumwita mwongo
 
Hujui hata typing error ni nini. Hujui amepotosha kiasi gan kwa kuandika huo uongo. Maana aliyetafsir for him or her kamuingiza chaka. Naye ka copy na ku paste hapa. Hakuna alichoandika kipya hapo. Ila mengine nmemsamehe maana watu kama wewe ndo mnapata burdan hapa


Unam attact personal hiyo ni error typing tu .hizo fact nyingine yupo sahihi.hakuna aliyezaliwa anajua kaileta hapa ili alipokosea umrekebishe na sio kumwita mwongo
 

Sawa mama Trump nimekuelewa...unavyojiamini kama vile ulishawahi kuishi mdani ya hilo jengo
 
Ukisema hiyo wanakutaja kwenye list
 
Winston baada ya kukutana na mauza uza aliamia wapi ?
 
Uchochez huo siku 2 au 3 mtaanza kuvaa t shirt zimeandikwa BringBackMpalestinaMchiziAlive
 
The only white man you can trust is a dead white man, "ROBERT MUGABE. god bless mugabe
Mkuu unasema kweli hawa watu info wanazo toa hatuwezi kuziamini kwa 100%

Hapo kwa mugabe angeomgeza

Usiamini hata maiti inaweza kupandikizwa chochote hata bomu au vimelea vya gonjwa baya.
 
mtoe Winston Churchill mleta mada,halafu Churchill alikua anavuta sana ile mimea huenda ilianza kuharibu ubongo wake akiwa pale uingereza akahisi yuko whitehouse na mzimu wa huyo aliyemuona
 
mtoe Winston Churchill mleta mada,halafu Churchill alikua anavuta sana ile mimea huenda ilianza kuharibu ubongo wake akiwa pale uingereza akahisi yuko whitehouse na mzimu wa huyo aliyemuona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Leoo. Ndio. Nimejuua. Kumbe. Marekanii. Ilishawaii. Kuongozwa. Na. Rais. Mlemavuu. Asantee. Sanaa
 
namba 4 nimependa. ikulu ya tz naamini ina vitu vya bure vingi. inasemekana zamani mgahawa wake ulikuwa wazi kwa yeyote aliefanikiwa kuvuka geti. viongozi wetu wakuu inasemekana mishahara yao haikatwi kodi, wanalipiwa kila kitu, maji, umeme, watumishi nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…