Natamani kesho uje na kichwa cha mada kisemacho
USIYO YAJUA KUHISU IKULU YA TANGANYIKA(now tz bara)
Uzungumzie vitu kama
Aliye chora ramani
Kuna matengenezo yoyote/maboresho yamewahi kufanyika?
Ni kweli kuna barabara za siri za kutokea baharini?
N.k n.k