Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
halafu ndugu bana?? yaani wanawake wooote! hao22, vindugu ni vitatu tu!! vinavyo julikana yaani hawa ndo walimuunga mkono julius jamani heee!!! kwa dhati labda ndg pekee wa mama wengine alikuwa Butiku, uzee wote huo ndg zake wengine hawajulikani!! walikuwa wapi? hata kumuunga mkono tu! wako kimyaaa! mpaka kesho!
hata kwenye misafara mara nyingi alikuwa na joseph halafu walifanana sana! familia nyingi ziko ivo!! hata yesu ndg zake hawajulikani kiviiile!! sababu hawakumuamini!
ndg siku zooote ni wanoko tu! si ajabu walikuwa wana mponda mwanzoni kama li baba yangu dogo hilo lilinisaidia kwa masimango sana wakati halina kitu!!
lililazimisha tu kunipa msaada wala hata lilkuwa halifui dafu kwa kila kitu alicho kuwa nacho babangu! eti lazima ukalisalimie! mara mie mkorofi! mara mie sijui vilienda vikarudi liliwahi kutuma watu waniletee fujo nyumbani kwangu!
yoote hayo eti nikaliombe msaada nikapiga kimya mpaka leo!! lkn likona tu litaanza nyarusare wewe! jf wamekufngi yaani hili zee bana!! mandugu ni ya hovyo sana!
siku moja likasambaza habari eti nimelikataa undugu likamwambia kila mtu!! habari zikanifikia nikapiga kimya tu km sijui!! nilipanga km lingeniuliza ningesema ndiyo ajabu nini?
hata kwenye misafara mara nyingi alikuwa na joseph halafu walifanana sana! familia nyingi ziko ivo!! hata yesu ndg zake hawajulikani kiviiile!! sababu hawakumuamini!
ndg siku zooote ni wanoko tu! si ajabu walikuwa wana mponda mwanzoni kama li baba yangu dogo hilo lilinisaidia kwa masimango sana wakati halina kitu!!
lililazimisha tu kunipa msaada wala hata lilkuwa halifui dafu kwa kila kitu alicho kuwa nacho babangu! eti lazima ukalisalimie! mara mie mkorofi! mara mie sijui vilienda vikarudi liliwahi kutuma watu waniletee fujo nyumbani kwangu!
yoote hayo eti nikaliombe msaada nikapiga kimya mpaka leo!! lkn likona tu litaanza nyarusare wewe! jf wamekufngi yaani hili zee bana!! mandugu ni ya hovyo sana!
siku moja likasambaza habari eti nimelikataa undugu likamwambia kila mtu!! habari zikanifikia nikapiga kimya tu km sijui!! nilipanga km lingeniuliza ningesema ndiyo ajabu nini?