Usiyoyajua kuhusu Senegal

Mkuu nimesoma uzi wako hakika ni kweli tupu..... Watanzania hatusafiri na tukisafiri tunawaza kurudi home muda wote. Tuna home sickness.... Na ukisafiri kila mtu anakuuliza "Unarudi lini?"
 
Aina ya kondoo wao ni tofauti na wa kwetu....

Ni wakubwa sana....
Oh Kama specie ya kondoo waliyonayo wao ni tofauti na yetu, bhasi soko lazima liwe dogo. Ila kila kitu kinahitaji research at first place. Huwezi jua labda na Aina hii ya kwetu ikapendwa lakini kwa bei tofauti na hiyo ya specie waliyoizoea mkuu.
 
Ni silka ya wanawake wengi wa Afrika Magharibi lazima mwanaume uwe ngangari. Sasa wanaume wenyewe hawa wakitanzania wa kulialia kuteswa na mapenzi type za akina lavalava desh desh mabishololo watawawezea wapi wanawake wa Afrika Magharibi.
Wanawake wa huko lazima uwe ngangari la sivyo utapelekwesha puta sana.
 
Kule inabidi utumie mfumo dume.
 
Mkuu nimesoma uzi wako hakika ni kweli tupu..... Watanzania hatusafiri na tukisafiri tunawaza kurudi home muda wote. Tuna home sickness.... Na ukisafiri kila mtu anakuuliza "Unarudi lini?"
Hii ipo damuni ,, ona Tu hata watumishi wa serikali hapahapa Tanzania wanapambama kila kukicha kutafuta uhamisho kurud Mikoa waliyozaliwa
 
Uislam wa kweli ni Lifestyle zaidi kuliko Dini. Ukristo ni Dini zaidi kuliko Lifestyle. Mimi ni mkristo ila nimegundua hili jambo.
 
Mkuu ipo sahihi sana. Kuna fovumentary ya African Indian, hii wameeleza kuwa upoingia ndani from Indian ocean wahindi wanapungua sana. Tegemea saja kuwaona wahindi along the indian ocean napo ni EA na SA
 
Vpi mkuu, hapo jirani Gambia, ulifanikiwa kufika pia!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…