Macky Sall kashasahau dhuluma alizofanyiwa na Wade, sasa na yeye anawafanyia wenzake.Ni sahii sana.
Macky Sall anajaribu kubadili katiba ili agombee kwa muhula wa tatu. Kumekua na upinzani mkali kutoka kwa kijana Ousmane Sonko.
Amempa kesi ya ubakaji.
Kila alhamis kuna maandamano na kila akipelekwa mahakamani kuna maandamano.
Cha kushangaza maandamano yao kama uhusiki polisi hakugusi unaweza pishana nao hawana shida...
Mimi huo ujamaa ulimfanya baba mzazi akawa bladfaken of ze faken. He wasted opportunities and fortunes zilizogharimu familia na jamaa. Sijawahi kuwa proud of him. Na alikua na ujuaji na ubishi wa kihaya faken of faken alimuona Nyerere kama muumba wake.Umesahau na France, utasema ndio kwao, hata timu ya taifa ya ufaransa imejaa weusi wengi wamezaliwa pale, kutokana na wazee wao kusettle pale wengi ni kutoka Senegal, Ivory Coast, Mali, Guinea, Cameroon etc. wengi ni 3rd or 4th generation. Wabongo wakikaa ughaibuni kidogo utawasikia wanataka kurudi nyumbani hawawazi kuhusu miaka 50 ijayo ya vizazi vyao. Ujamaa ulituharibu sana.
Uzuli wa nchi hiyo matajiri wengi pesa zao za kutafuta wao kwetu wazawa wenye pesa ni mafisadi wamekwiba serikaliniMziki wao ni mzuri sana ukichagizwa na namna wanavyocheza....
Mji wa Dakar una matajiri haswa. Barabara zao zimejaa magari ya kifahari latest. Majumba ni ya kifahari kwenye sehemu za kishua....
Wasenegal wanapenda kuendeleza vya kwao.
Wawekezaji wengi ni wazawa.
Jamii za wahindi, wachina si wengi kama Tanzania.
Wasenegal hawapendi kulipwa kidogo. Wao kazi ndogo hela nyingi....
Si unaona sasa, ujamaa ulituharibu sana, tena nyie wahaya usingekua ujamaa mngekua mbali sana kimaendeleo ya kila kitu. Uliharibu hadi mentality za watu, ona sasa wachina wanakuja wanajichukulia tu vitu kirahisi rahisi shauri ya upole wa ujamaa.Mimi huo ujamaa ulimfanya baba mzazi akawa bladfaken of ze faken. He wasted opportunities and fortunes zilizogharimu familia na jamaa. Sijawahi kuwa proud of him. Na alikua na ujuaji na ubishi wa kihaya faken of faken alimuona Nyerere kama muumba wake.
Hume nilenga mimi powa nitajirekebisha nitajitahidi baada ya mavuno kutembelea afirika masharikiThread murua kabisa, watanzania tutenge bajeti ndogo ya kutembea hata nchi jirani.. Mpaka unaondoka duniani hata kufika mpakani kwa basi hujawahi. Muhimu kujua watu walivyo na tamaduni tofauti kwenye huu uso wa ardhi
Tanataka habari kama hizi nipenda sanaJamaa wako poa mno. Hawana makuu.
Sea plaza sijawahi kufika.
Supermarket nyingi ni AUCHAN mfaransa. Pia kuna CASSINO SUPERMARKETS na nyingine nyingi.
Nipatapo wasaha kurejea nchi ile nitazunguka zaidi...
Very good country.
Kweli kabisa mfano tanga pemba unguja komoro wezi vidokozi hakunaNchi nyingi zenye waislam wengi uhalifu ni mchache sana, Somalia huko wanakosema kuna vita unaweza kulala hata mlango wazi, kifupi panya road wakutafuta kwa tochi kama si hakuna kabisa.
Hata imani inachangia nenda pemba unguja tanga kuna tabia nyingine udokozi ukahaba hakuna ukiona kahaba jua ni mgeniHao kama utamaduni na sio kama imani
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Umesema wanavaa hirizi kama bangili si ajabu ndiyo maana no.11 wanaijua Thimba kuliko Yanga.
Kwani Dolla 80 sawa tz ngapi?Dah yan kondoo auzwe kwa Dollar elfthemanini $80k, hiyo haiwezekani. Hata Dubai hafikii bei hiyo hata nusu
Katika pitapita zangu niliwahi kusikia huko West Africa kuna msosi maarufu sana hapo na duniani kwa ujumla unaitwa "JOLLOF RICE" kuna Msenegal nilikuwa nae Nairobi nikamuuliza hili suala na igredients za msosi husika akaishia kuniambia nigoogle.Lakini nilivyogoogle nikaona viungo vinavyowekwa humo ni vya kawaida tu licha ya kuwa ni msosi maarufu duniani kutokea Africa,na baada ya kugoogoe zaidi nikaona nchi zote za west Africa zinatengeneza msosi huu lakini Niigeria na Ghana ndio kwa sana..Vipi uwepo wa msosi huu hapo Senegal na je ni kama pilau au biriani tunalokula huku Tabata!?Nimekaa pale muda mrefu. Hakika sikuwahi sikia wakiitana KAFIR hata kama ni dini tofauti.
Neno hili Tanzania tunapenda kulitumia.
Magufuli alipambana kutaka kumuua tundu lissu na mawazo kule geitaUmesikia kabisa huko hakuna wezi na wanapenda amani na wanapenda vyao,na ndio Magufuli alivipambania
[emoji24][emoji14][emoji847][emoji2957][emoji12]bado vijana wa Rick boy wazee wamasihara hawajaanza kuuliza maswali yao ya uzinzi kwenye huu uzi
Mahindi wanafanyia nini hasa ikiwa hawana uji wala ugali?Hahaha...
Uji labda wa ulezi ila hawaweki kitunguu hawana unga wa sembe ila kuna mahindi...
Imagine mkate unawekwa kitunguu...
Achana nae huyo, hawa ndio watanzania halisi, wao kila kitu kwao ni fix na kila opportunity kwao ni scam, lolote ambalo hawajawahi kulisikia kwao ni uongo, inasikitisha sana sababu watu wa aina hiyo ndio tunao wengi.Kama fix si ukae kimyaa tu mkuu, wewe si msafiri unaweza kuta hata Nairobi tu hujafika. Sie wasafiri na watafutaji umetusaidia kuijua Senegal. Mie sikwenda Dakar tu kipindi hicho lakini baada ya huu uzi lazima nitie timu huko mwaka huu Mhandisi mzalendo kanisaidia sana hapa. Inshaallah
Mmmmmhhh!Wana kondoo wao wanaitwa Ladoum kipindi cha sikukuu za Eid bei zake zinaweza kufika mpaka $80,000. Hiyo ni zaidi ya 187M Tshs
View attachment 2560778
bwana weeee???!!!Naam
Inategemea unafikia wapi....na accomodation zao vipi?na hyo ni dakar?