Usiyoyajua kuhusu Senegal

Usiyoyajua kuhusu Senegal

Ni sahii sana.
Macky Sall anajaribu kubadili katiba ili agombee kwa muhula wa tatu. Kumekua na upinzani mkali kutoka kwa kijana Ousmane Sonko.
Amempa kesi ya ubakaji.
Kila alhamis kuna maandamano na kila akipelekwa mahakamani kuna maandamano.

Cha kushangaza maandamano yao kama uhusiki polisi hakugusi unaweza pishana nao hawana shida...
Macky Sall kashasahau dhuluma alizofanyiwa na Wade, sasa na yeye anawafanyia wenzake.
 
Umesahau na France, utasema ndio kwao, hata timu ya taifa ya ufaransa imejaa weusi wengi wamezaliwa pale, kutokana na wazee wao kusettle pale wengi ni kutoka Senegal, Ivory Coast, Mali, Guinea, Cameroon etc. wengi ni 3rd or 4th generation. Wabongo wakikaa ughaibuni kidogo utawasikia wanataka kurudi nyumbani hawawazi kuhusu miaka 50 ijayo ya vizazi vyao. Ujamaa ulituharibu sana.
Mimi huo ujamaa ulimfanya baba mzazi akawa bladfaken of ze faken. He wasted opportunities and fortunes zilizogharimu familia na jamaa. Sijawahi kuwa proud of him. Na alikua na ujuaji na ubishi wa kihaya faken of faken alimuona Nyerere kama muumba wake.
 
Mziki wao ni mzuri sana ukichagizwa na namna wanavyocheza....

Mji wa Dakar una matajiri haswa. Barabara zao zimejaa magari ya kifahari latest. Majumba ni ya kifahari kwenye sehemu za kishua....

Wasenegal wanapenda kuendeleza vya kwao.
Wawekezaji wengi ni wazawa.
Jamii za wahindi, wachina si wengi kama Tanzania.
Wasenegal hawapendi kulipwa kidogo. Wao kazi ndogo hela nyingi....
Uzuli wa nchi hiyo matajiri wengi pesa zao za kutafuta wao kwetu wazawa wenye pesa ni mafisadi wamekwiba serikalini
 
Mimi huo ujamaa ulimfanya baba mzazi akawa bladfaken of ze faken. He wasted opportunities and fortunes zilizogharimu familia na jamaa. Sijawahi kuwa proud of him. Na alikua na ujuaji na ubishi wa kihaya faken of faken alimuona Nyerere kama muumba wake.
Si unaona sasa, ujamaa ulituharibu sana, tena nyie wahaya usingekua ujamaa mngekua mbali sana kimaendeleo ya kila kitu. Uliharibu hadi mentality za watu, ona sasa wachina wanakuja wanajichukulia tu vitu kirahisi rahisi shauri ya upole wa ujamaa.
 
Thread murua kabisa, watanzania tutenge bajeti ndogo ya kutembea hata nchi jirani.. Mpaka unaondoka duniani hata kufika mpakani kwa basi hujawahi. Muhimu kujua watu walivyo na tamaduni tofauti kwenye huu uso wa ardhi
Hume nilenga mimi powa nitajirekebisha nitajitahidi baada ya mavuno kutembelea afirika mashariki
 
Ulivyosema ni asilimia 100 nilikuwa Dakar kikazi mwaka jana mwezi wa Saba ..kuvaa hirizi kwao kawaida kabisa .daladala ni chakavu Sana nitaweka picha .Dakar pale ni magorofa tupu na hakuna fence kama ulivyosema nyumba zimebanana .kwenye msosi kitunguu ni Kila kitu Yani ni kama mboga kuu kwao .Barabara zao ni nzuri sana ..nk
 
Nimekaa pale muda mrefu. Hakika sikuwahi sikia wakiitana KAFIR hata kama ni dini tofauti.
Neno hili Tanzania tunapenda kulitumia.
Katika pitapita zangu niliwahi kusikia huko West Africa kuna msosi maarufu sana hapo na duniani kwa ujumla unaitwa "JOLLOF RICE" kuna Msenegal nilikuwa nae Nairobi nikamuuliza hili suala na igredients za msosi husika akaishia kuniambia nigoogle.Lakini nilivyogoogle nikaona viungo vinavyowekwa humo ni vya kawaida tu licha ya kuwa ni msosi maarufu duniani kutokea Africa,na baada ya kugoogoe zaidi nikaona nchi zote za west Africa zinatengeneza msosi huu lakini Niigeria na Ghana ndio kwa sana..Vipi uwepo wa msosi huu hapo Senegal na je ni kama pilau au biriani tunalokula huku Tabata!?
 
Kama fix si ukae kimyaa tu mkuu, wewe si msafiri unaweza kuta hata Nairobi tu hujafika. Sie wasafiri na watafutaji umetusaidia kuijua Senegal. Mie sikwenda Dakar tu kipindi hicho lakini baada ya huu uzi lazima nitie timu huko mwaka huu Mhandisi mzalendo kanisaidia sana hapa. Inshaallah
Achana nae huyo, hawa ndio watanzania halisi, wao kila kitu kwao ni fix na kila opportunity kwao ni scam, lolote ambalo hawajawahi kulisikia kwao ni uongo, inasikitisha sana sababu watu wa aina hiyo ndio tunao wengi.
 
na accomodation zao vipi?na hyo ni dakar?
Inategemea unafikia wapi....

Uswahili kupo
Mid town kupo
Town kupo
Kwa kishua kupo...

GUest nyingi ni 10k CFA mpaka 50k CFA inategemea na sehemu.

Nyumba za kupanga 50k CFA kwa studio mpaka 1m CFA kwa mwezi.

Muhimu unakuja kufanya nini..... Hukosi pa kulala.

1 CFA ni kama 4 Tshs.....

Tambua nchi zetu za kiafrica ukishafika hamtashindwana....
 
Back
Top Bottom