Usiyoyajua kuhusu Senegal

Ni kama biriani au tuseme pilau... Ila wanaweka viungo zaidi. Wanachanganya samaki nyama humo humo....

Ni kizuri. Kina pilipili kwa mbali.
Ni kitamu.
 
Hakika mkuu. Tulipishana kidogo sana.
 
Naenda Senegal mwezi wa 9, vipi hawazingui airport? Maana niliendaga Nigeria niliombwa Rushwa nikajuta.
Ukiwa na invitation letter hawazingui.
Muhimu uwe na address unapoenda.
Invitation letter.
Passport safi....
Sometime ukiwa na mizigo mingi mfano bidhaa watakuomba chochote max usd 50...

All in all utaingia tu.
Tax mpaka Dakar center ni 20000 CFA kutoka airport.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…