Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
- Thread starter
-
- #261
Nimeuliza.Mahindi wanafanyia nini hasa ikiwa hawana uji wala ugali?
Ni kama biriani au tuseme pilau... Ila wanaweka viungo zaidi. Wanachanganya samaki nyama humo humo....Katika pitapita zangu niliwahi kusikia huko West Africa kuna msosi maarufu sana hapo na duniani kwa ujumla unaitwa "JOLLOF RICE" kuna Msenegal nilikuwa nae Nairobi nikamuuliza hili suala na igredients za msosi husika akaishia kuniambia nigoogle.Lakini nilivyogoogle nikaona viungo vinavyowekwa humo ni vya kawaida tu licha ya kuwa ni msosi maarufu duniani kutokea Africa,na baada ya kugoogoe zaidi nikaona nchi zote za west Africa zinatengeneza msosi huu lakini Niigeria na Ghana ndio kwa sana..Vipi uwepo wa msosi huu hapo Senegal na je ni kama pilau au biriani tunalokula huku Tabata!?
Hakika mkuu. Tulipishana kidogo sana.Ulivyosema ni asilimia 100 nilikuwa Dakar kikazi mwaka jana mwezi wa Saba ..kuvaa hirizi kwao kawaida kabisa .daladala ni chakavu Sana nitaweka picha .Dakar pale ni magorofa tupu na hakuna fence kama ulivyosema nyumba zimebanana .kwenye msosi kitunguu ni Kila kitu Yani ni kama mboga kuu kwao .Barabara zao ni nzuri sana ..nk
Ukiwa na invitation letter hawazingui.Naenda Senegal mwezi wa 9, vipi hawazingui airport? Maana niliendaga Nigeria niliombwa Rushwa nikajuta.
Duh..Nilipoongelea hirizi ni kama hv
View attachment 2561895