Usiyoyajua kuhusu Senegal

Biashara
Almost mazao yao yote wanaimport kutoka nje. Matunda ni gharama sana.
Mchele unahitajika sana. Vitunguu...

Ni watu wanaopenda madini. Kama una biashara hiyo ni nzuri.

Kazi
Kama unafahamu kifaransa na una elimu nzuri kupata kazi ni rahisi si watu wa chap chap kama WaTz so ni easy kukubalika.

Mifugo....
Ujenzi
Mawasiliano
Consultation...

Fursa zipo nyingi kama utajua Kifaransa na una mtaji wa kuanzia.

Kuanzisha kampuni ni rahisi sana na procesa ni fasta.....
 
Ni kama maeneo mengi yapo kwenye ujenzi endelevu. Nilikatiza maeneo ya Ile beach kuelekea Ubalozi wa Marekani, Kuna jamaa wanapiga jani wapo kihuni ila hawana madhara.

Nilijuta kutokufaham Kifaransa
Yes nchi inajengwa kila sehemu.....

Wahuni wa huku si wakabaji.... Ni nadra matukio hayo kutokea ingawa yapo...
 
Wamejitambua na kuwa mfumo wao wa dini na si utumwa wa kutwishwa kila kitu bila kufikiri. Mfano, huu uvaaji wa ninja ni utamaduni wa kiiran wala siyo uislam. Natamani wawe na mji wao wa kuhiji badala ya kupoteza fedha uarabuni kwa wabaguzi
 
Oh Kama specie ya kondoo waliyonayo wao ni tofauti na yetu, bhasi soko lazima liwe dogo. Ila kila kitu kinahitaji research at first place. Huwezi jua labda na Aina hii ya kwetu ikapendwa lakini kwa bei tofauti na hiyo ya specie waliyoizoea mkuu.
Hili neno umelirudia Specie, hapo si kukosea nadhani ulitaka kuandika Specie ni hela ya sarafu ila neno ulilotaka kuandika ni species (ambalo kwa wingi na umoja ni hilo hilo)
 
Sijawahi washuhudia....
Ila nishaona art katikati ya mji imechorwa kwa maneno "fuc* LGB**" inaelekea wamejaribu kujipenyeza ila wamekutana na misimamo mikali. Hata kama wapo ni wanajificha hatari huwezi kuwaona. Sidhani kama wanaweza kuwa na ujasiri wa kujionyesha hadharani. Hawa watu hawatawakwepesha.....
 

Attachments

  • 20230123_171015.jpg
    512.2 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…