Zamani ilikuwa ukitoka Dar kwenda Mwanza kirahisi upitie KenyaAhsante sana kwa taarifa. Nakuelewa sana hapo unaposema shortcut. Unatoka sehemu moja Senegal kupitia Gambia kwenda Senegal. Safi sana hii
This is an expensive hotel in almadies. 5 star hotel.... Mkuu ulifaudu ndio maana ulikutana na pisi kali kali.....Nililala King Fahad Hotel ndani ya Dakar aseee watoto wa kike wa Dakar ni wazuri aseee
Hao jamaa wana beach za mchezo wanaweka gym 😄 bongo mafisi hawawezi kuruhusu hii watapangishia hata wauza mihogo wakusanye ushuru buku bukuWhen I said jamaa wanapenda mazoezi ni kama hivi... Hii ni open gym... Serikali imeweka gym hapo ufukweni unaenda tu kufanya mazoezi mtu yoyote no kulipia... Imagine bongo uweke vyuma vikae tu bila ulinzi....
View attachment 2572441
Bongo nyoso.... Na hayo machuma watu wangeshauza kitambo....Hao jamaa wana beach za mchezo wanaweka gym 😄 bongo mafisi hawawezi kuruhusu hii watapangishia hata wauza mihogo wakusanye ushuru buku buku
Twende mbele turudi nyuma, mie nimetembea karibu nchi nyingi ulaya na baadhi North na West Africa. Nchi zenye waislam wengi kuna upendo na ukarimu hilo halina mjadala. Guinea Conakry,Algeria, Morocco, Mauritania na Egypt, wizi wizi wa kipumbavu kama wa hapo bongo hamna. Huwezi kuvamiwa nyumbani kwako na panya road. Nachoona uislam wa bongo unaendana na umaskini maana nchi zote nilizotembelea za kiislam wizi hakuna kabisa.I might be wrong.
Bongo tupo kimachale sana. Nchi zilizotawaliwa na waingereza kuna ujanja ujanja sana... Wizi wizi mnoYaan bongo sijui tuna shida gani aisee tunalala kama tupo Gerezan jinsi milango tunavyofunga na makufuli
Bongo tupo kimachale sana. Nchi zilizotawaliwa na waingereza kuna ujanja ujanja sana... Wizi wizi mno
Wakati nimefika Senegal nikaingia na tabia zangu za kitanzania... Muda ulivyokua unaenda nikaanza kubadilika. Maana wale jamaa hawadanganyi hovyo na they are very honest.... Nikaona nikiendelea na uswahili nitaharibu kazi.Uongo uongo,wizi wizi tu sijui tupoje
😂😂😂😂😂Wakati nimefika Senegal nikaingia na tabia zangu za kitanzania... Muda ulivyokua unaenda nikaanza kubadilika. Maana wale jamaa hawadanganyi hovyo na they are very honest.... Nikaona nikiendelea na uswahili nitaharibu kazi.
Mimi ndio nikabadilika. Nilichowashinda tu ni uchapaji kazi wao wanafanya mambo yao slow sana na hawataki presha....
Hijja kwa waislamu iko moja tu dunia nzima Inapatikana Saudia...na itabaki hivyo mpaka qiyamaWamejitambua na kuwa mfumo wao wa dini na si utumwa wa kutwishwa kila kitu bila kufikiri. Mfano, huu uvaaji wa ninja ni utamaduni wa kiiran wala siyo uislam. Natamani wawe na mji wao wa kuhiji badala ya kupoteza fedha uarabuni kwa wabaguzi
Nadhani taratibu zinatofautiana nchi na nchi kwenye niqab... Sasa hv kipindi cha ramadhani naona wanawake wanafunga vilemba kuficha kichwa. Lakini hijab hawavai.Hijja kwa waislamu iko moja tu dunia nzima Inapatikana Saudia...na itabaki hivyo mpaka qiyama
Na uislam hauna fikra za mtu zitumike hakunga,,
Kuvaa niqab ni dalili katika dini nawala si utamaduni wa Iran...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umesema wanavaa hirizi kama bangili si ajabu ndiyo maana no.11 wanaijua Thimba kuliko Yanga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Walikuja wameulizia bei ya gest wameambiwa elfu 40000TSH na short time hakuna,wamekula kona
HahahahaKitunguu kwenye kila chakula nimewaza uji wa kitunguu
Siyo kweliVIP Zanzibar inamaana hao 2 parcent Ni wakristo ndio panya rod
Mbona magerezani na police kote nchini kumejaha waislamu tupu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Msamehe buree dada na siyo Waislamu wote wapo hivi.Hawa ndio waislam ninaowajua.