Usiyoyajua kuhusu Senegal

Usiyoyajua kuhusu Senegal

When I said jamaa wanapenda mazoezi ni kama hivi... Hii ni open gym... Serikali imeweka gym hapo ufukweni unaenda tu kufanya mazoezi mtu yoyote no kulipia... Imagine bongo uweke vyuma vikae tu bila ulinzi....
20230331_191823.jpg
 
When I said jamaa wanapenda mazoezi ni kama hivi... Hii ni open gym... Serikali imeweka gym hapo ufukweni unaenda tu kufanya mazoezi mtu yoyote no kulipia... Imagine bongo uweke vyuma vikae tu bila ulinzi....
View attachment 2572441
Hao jamaa wana beach za mchezo wanaweka gym 😄 bongo mafisi hawawezi kuruhusu hii watapangishia hata wauza mihogo wakusanye ushuru buku buku
 
Twende mbele turudi nyuma, mie nimetembea karibu nchi nyingi ulaya na baadhi North na West Africa. Nchi zenye waislam wengi kuna upendo na ukarimu hilo halina mjadala. Guinea Conakry,Algeria, Morocco, Mauritania na Egypt, wizi wizi wa kipumbavu kama wa hapo bongo hamna. Huwezi kuvamiwa nyumbani kwako na panya road. Nachoona uislam wa bongo unaendana na umaskini maana nchi zote nilizotembelea za kiislam wizi hakuna kabisa.I might be wrong.

Yaan bongo sijui tuna shida gani aisee tunalala kama tupo Gerezan jinsi milango tunavyofunga na makufuli
 
Uongo uongo,wizi wizi tu sijui tupoje
Wakati nimefika Senegal nikaingia na tabia zangu za kitanzania... Muda ulivyokua unaenda nikaanza kubadilika. Maana wale jamaa hawadanganyi hovyo na they are very honest.... Nikaona nikiendelea na uswahili nitaharibu kazi.
Mimi ndio nikabadilika. Nilichowashinda tu ni uchapaji kazi wao wanafanya mambo yao slow sana na hawataki presha....
 
Wakati nimefika Senegal nikaingia na tabia zangu za kitanzania... Muda ulivyokua unaenda nikaanza kubadilika. Maana wale jamaa hawadanganyi hovyo na they are very honest.... Nikaona nikiendelea na uswahili nitaharibu kazi.
Mimi ndio nikabadilika. Nilichowashinda tu ni uchapaji kazi wao wanafanya mambo yao slow sana na hawataki presha....
😂😂😂😂😂
Safi sanaa kwa kuiga mazuri
 
Wamejitambua na kuwa mfumo wao wa dini na si utumwa wa kutwishwa kila kitu bila kufikiri. Mfano, huu uvaaji wa ninja ni utamaduni wa kiiran wala siyo uislam. Natamani wawe na mji wao wa kuhiji badala ya kupoteza fedha uarabuni kwa wabaguzi
Hijja kwa waislamu iko moja tu dunia nzima Inapatikana Saudia...na itabaki hivyo mpaka qiyama
Na uislam hauna fikra za mtu zitumike hakunga,,

Kuvaa niqab ni dalili katika dini nawala si utamaduni wa Iran...
 
Hijja kwa waislamu iko moja tu dunia nzima Inapatikana Saudia...na itabaki hivyo mpaka qiyama
Na uislam hauna fikra za mtu zitumike hakunga,,

Kuvaa niqab ni dalili katika dini nawala si utamaduni wa Iran...
Nadhani taratibu zinatofautiana nchi na nchi kwenye niqab... Sasa hv kipindi cha ramadhani naona wanawake wanafunga vilemba kuficha kichwa. Lakini hijab hawavai.
 
PVC & ALUMINIUM
PARTITION BALCONY MADIRISHA MILANGO
tuone kupitia namba hii 0735432020
255686082235_status_6f29d60791df4c65a9e5824e4780f03a.jpg
 
Back
Top Bottom