Usiyoyajua kuhusu Senegal

Sasa mkuu unasema magari ya umma Ni Yale kuuu kuu na huku unasema watu Wana magari latest mbna hatari

Kuna documentary nimeonaga offcoz magar karibia yote Ni kuu kuu tu pia ya kizamani Sana [emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hapana mkuu.

Magari binafsi ni mazuri sana. Na brand tofauti.
USafiri wa uma ndio kisanga...
 
nchi nyingi zenye waislam wengi uhalifu ni mchache sana,, Somalia huko wanakosema kuna vita unaweza kulala hata mlango wazi,, kifupi panya road wakutafuta kwa tochi kama si hakuna kabisa
VIP Zanzibar inamaana hao 2 parcent Ni wakristo ndio panya rod

Mbona magerezani na police kote nchini kumejaha waislamu tupu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyo rais wao Mack Sally Ni muislamu au mkiristo

Nae nasikia wanamtakaa asitawake kwa temu ya tatu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha mkuu....

Simba wanaijua kwa sababu kuna wachezaji wa Senegal wamepita hapo. No less no more.....

Hawa hawafuatilii hata mpira kivile.
Nimevaa jezi ya Yanga sana na wengi husema ni jezi ya Brazili.

Ila ya Simba wanaijua.
Acha uongo mkuu na jesi wee inamaana umeenda na jesi za timu mbili mbna ubaanda kuwa muongo muongo acha hzo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo mkuu na jesi wee inamaana umeenda na jesi za timu mbili mbna ubaanda kuwa muongo muongo acha hzo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu nidanganye nipate nini?

Wapi nimesema mimi nimevaa jezi ya simba? Siwezi kuvaa na sitavaa.

Nimesema jezi ya simba wanaifahamu.....
 
Nauli ni kama Bei gan Kwa chopa
 
Vipi kuhusu fursa za kiuchumi zipo,
Yaan Kwa wasomi na sie Watumia nguvu.
Uhakika WA kutusua upoo.
Fursa za kiuchumi zipo nyingi....

1. Kilimo wapo chini sana. Asilimia kubwa ya mazao wana import kutoka nje.
2. Biashara mbali mbali kuanzia vyakula, vifaa vya umeme, vipuri vya magari, hardware....
3. Kazi za wasomi zipo kikwazo ni lugha. Usipojua kifaransa na lugha yao kufanya kazi ni ngumu. Wachache wanaongea kingereza.
4. Nchi hii inajengwa kila sehemu. Vibarua vya kazi ngumu vipo na wenyeji hawapendi. So wengi wanatoka Guinea, Gambia n.k
 
VIP Zanzibar inamaana hao 2 parcent Ni wakristo ndio panya rod

Mbona magerezani na police kote nchini kumejaha waislamu tupu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa kwa akili yako zanzibar kuna panya road??? Na hiyo Tanzania uliyoutolea mfano kwani nchi ya kiislam??
Umekurupuka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…