Usiyoyajua kuhusu Senegal

Mkuu siku zote ukitaka kutoboa, jifunze kwa waliotoboa. Lakini pia kila jamii ina mapungufu yake. Jitahidi kadri unavyoweza kuangalia yale mazuri. Focus on the positive aspects. Ya utapeli achana nayo. Hata kama yana ukweli hayana msaada.
Usiishi kwa kuchagua cha kujifunza chief. Hata makosa nayo ni shule. Wewe umeandika ya Senegal tujifunze lakin hukuandika na mabaya yao.
 
nimependa ishu ya mkate na biashara ya pombe nilikuwa nataka kujua kuhusu uraia kuupata au nikiamua kukaa huko opportunity zilizoko kwa wageni
 
Sina interest na mabaya yao mkuu.
Then kwa mtu uliyempa hii story akienda akakumbana na Mambo tofauti huon ushampoteza. Siku zote ukifanya utafiti njoo na ubaya na uzur ucje na upande mmoja tu. Maana hapa tupo kujifunza. Na hili hukuliandika huku kwaajili yako ni kwaajili yetu pia. Tunajifunza kila cku kwenye hasi na chanya
 
Sasa kwa akili yako zanzibar kuna panya road??? Na hiyo Tanzania uliyoutolea mfano kwani nchi ya kiislam??
Umekurupuka!!
Wee ndio umekurupuka kujumuisha panya road na uislamu at unasema sehemu inayokaliwa na waislamu Hakuna ualifu Nani kakudanganya wee kijana wa mnyazi mungu
 
.mkuu Ni serious hili hyo mbno ilinipita naomba link nifatilie Jambo Hilo

Tatizo la ruto Ni naibu wake anaropoka sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wachina wanalelewa na Serikali, miaka ijayo sijui hali itakuwaje

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wee ndio umekurupuka kujumuisha panya road na uislamu at unasema sehemu inayokaliwa na waislamu Hakuna ualifu Nani kakudanganya wee kijana wa mnyazi mungu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ukweli uko hivyo na hiyo haiwezi kubadilika,, kama umenuna pasuka,, nchi nyingi zenye waislam wengi na zinazofuata tamaduni za uislam kama hii Senegal aliyoitolea mfano mleta uzi,, kuna usalama mkubwa mno,, si kwamba naingiza udini la hasha,, isipokuwa huwezi kuizungumzia Senegal pasi na kutaja imani yao kwa kuwa asilimia 90 ni wa imani moja,, south Africa ndio nchi inayoongoza kwa wakristo Africa na marekani ndio nchi inayoongoza kwa wakristo duniani na ndizo zinazoongoza kwa uhalifu
 
Huna data wew unajidanganya Kisha unalitetea dini yenu ya mnyanz badilikeni waleeni watot wenu kwa njia sahih mnadekeza watot Kisha mnakuja kuisifu Senegal kuwa waislmu wake Ni mwaaminifu ,Ni waaminifu kwa kuwa waliwalea watot kimaadili

Acha utapweli wa dini ww

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…